Mwanafalsafa

  • HOME
Home → Habari → WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe, kesho Jumamosi Desemba 6 anatarajiwa Kuwa mgeni rasmi Katika Mahafali ya Pili ya Chuo Kikuu Cha Bagamoyo (UB).

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe, kesho Jumamosi Desemba 6 anatarajiwa Kuwa mgeni rasmi Katika Mahafali ya Pili ya Chuo Kikuu Cha Bagamoyo (UB).

Habari
Friday, 5 December 2014



Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo kwa vyombo vya Habari Dar Es
Salaam,  na Ofisa Habari wa  ( UB), Happiness Katabazi, inasema Kuwa
Membe ndiye Atakuwa mgeni rasmi Katika mahafali hayo ambayo yatafanyika Katika
Hoteli ya Kiromo  View Resort  kijijini Kiromo Wilayani Bagamoyo,Mkoani
Pwani.




Katabazi alisema jumla ya wahitimu 99 wanatarajiwa kutunukiwa Vyeti Katika
ngazi ya Shahada ya Uzamili, Shahada ya Kwanza, Diploma,  na cheti.




Wakati huo huo , Juzi Makamu wa Rais  Dk.Mohammed Gharib Bilal alishindwa
kuhudhuria sherehe za uwekwaji  wa jiwe la Msingi wa makazi ya kudumu ya
UB ikiwa ni ishara ya kuanza kwa ujenzi wa makao makuu ya UB kijijini hapo
ambapo ujenzi ukikamilia majengo hayo yatakuwa na uwezo wa kuchukua zaidi ya
wanafunzi 5000, yaliyopaswa yafanyike Katika kijijini Cha Kiromo ,Bagamoyo
Mkoani Pwani kwasababu alikuwa amebanwa na majukumu mengine ya Kitaifa na
akaomba apangiwe tarehe nyingine ya kuja kuweka jiwe Hilo la Msingi.




Akizungumza na waandishi wa Habari Katika kijijini Kiromo Juzi wakati
akiiarisha sherehe za Utiaji wa jiwe la Msingi , Makamu Mkuu wa UB, Profesa
Costa Ricky Mahalu alitoa historia fupi la shamba Hilo lililopo Kijijini Kiromo
Alisema  familia yake ililinunua rasmi Agosti 26 Mwaka 2003.





Profesa Mahalu alisema Katika shamba Hilo familia yake imeamua kukata heka 100
na kuzitoa kwa UB ili UB iweze kujenga makazi yake ya kufumu katika Kijiji cha
Kiromo na kwamba heka nyingine zilizosalia familia yake itazitoa  kwa
Taasisi nyingine za elimu ya juu  na kwamba Tayari Taasisi nne za elimu ya
juu ikiwemo Chuo Kikuu Kimoja Cha kigeni kimeishaonyesha nia ya kutaka Kuja
Kujenga Taasisi yake ya elimu Katika shamba Hilo.




Profesa Mahalu Alisema shamba hilo kabla familia yake haijalinunua lilikuwa
likimilikiwa na lililokuwa shirika la Serikali la NAFCO na baada ya kufirisika
mwaka 1990  lilichukuliwa na LART  ambaye alikuwa na jukumu la
kuchukua  kuuza Mashitaka ya serikali yalikuwa na matatizo ya kifedha.




' LART ikamkabidhi  kampuni ya PHLLIP&Ltd  iliyauza mashamba
matatu  ya NAFCO  yaliyopo Kiromo. Hayo mashamba matatu ,Moja
iliuziwa familia ya Mahalu na mkataba wa mauzo wa shamba Hilo la Mahalu na LART
ulisainiwa Agosti 26 Mwaka 2903  na baada ya hapo  umiliki wa
shamba  unachukuliwa  na familia ya Mahalu kwa mujibu wa Sheria.'
Alisema Balozi Mahalu.




Share this article :
Tweet
✚
Newer Post
Older Post
Home

HABARI ZILIZO BAMBA TOP 10

  • Umuhimu wa kushirikiana katika kazi hasa ya muziki
  • Wiki hii katika mtandao wa kijamii, whatsapp , Ni sheedah cheki picha kali hapa chini !
  • Mwanasheria mkuu wa serikali nchini Mexico, Jesus Murillo Karam,ametoa ahadi kuwa hakutakuwa na uonevu wowote katika kesi ya kupotea kwa wanafunzi nchi humo miezi miwili iliyopita
    . Kutoweka kwa wanafunzi hao kumesababisha maandamano ya wiki kadhaa nchini humo waandamanaji wakipinda rushwa na ukatili...
  • Ni majonzi makubwa Tazama picha za wana familia za wachimba machimbo ya kokoto waliouawa na Al Shabaab mjini Mandera
    Familia za wachimba machimbo ya kokoto waliouawa na Al Shabaab mjini Mandera leo waliwapokea wapendwa wao baada ya miili yao kufikishwa ch...
  • After more than two years of tension over a territorial row,the leaders of China and Japan hold formal talks on the sidelines of a major Asian summit.
    Chinese President Xi Jinping and Japanese PM Shinzo Abe met on the sidelines of the Asia-Pacific Economic Co-operation (Apec) summit in B...
  • CCM KUTOICHUKULIA HATUA AKAUNTI YA ESCROW
    Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, alisema kuwa CCM haina mpango wa kuchukua hatua zozote dhidi ya wote waliotajwa kuh...
  • A hardline cleric in Pakistan is teaching the ideas of Osama Bin Laden in religious schools for about 5,000 children.
       Even while the Pakistani government fights the Taliban in the north-west of the country, it has no plans to clos...
  • Lorna Rutto is an entrepreneur who founded Ecopost, a Nairobi-based company that recycles plastic waste
    Lorna Rutto is an entrepreneur who founded Ecopost, a Nairobi-based company that recycles plastic waste. As part of the latest series o...
  • AJIITA KIJANA MWENYE BAHATI AKIWA KATIKATI YA WAREMBO WAWILI
  • The actress best known for playing the unseen role of Howard Wolowitz's mother on The Big Bang Theory has died.
      Big Bang Theory's Mrs Wolowitz dies at the age of 62 Carol Ann Susi had played the role of Mrs Wolowitz since 2007   ...

LABELS

  • Breaking News
  • condolonces
  • Entertainment
  • Entertainments
  • Habari
  • Majonzi
  • Michezo
  • News
  • News and Updates
  • Skendo
  • Sports and Games
Submit ExpressSEO Services & Tools

Total Pageviews

Copyright 2014 Mwanafalsafa
Template By Ridwan Hex And Game Gratis