Mwanafalsafa

  • HOME
Home → Habari → Maandano zidi ya kutupiliwa mbali kwa kesi ya afisa polisi mjini New York

Maandano zidi ya kutupiliwa mbali kwa kesi ya afisa polisi mjini New York

Habari
Friday, 5 December 2014

Maandamano mjini New York
Waandamanaji wameingia katika barabara za miji mingi Nchini Marekani kwa usiku wa pili mtawalia, kupinga maamuzi ya majaji kutupilia mbali kesi dhidi ya afisa wa polisi aliyedaiwa kumuua raia mmarekani mweusi nchini humo Eric Garner.
Mjini New York, waandamanaji wameonekana wakibeaba kaburi bandia wakivuka daraja la Brooklyn Bridge huku wakitatiza msongamano wa magari barabarani mjini New York.
Meya wa jiji hilo, Bill de Blasio, amewaambia wanahabari kuwa uhusiano kati ya maofisa wa polisi na raia wa Marekani, unafaa kubadilika, na watu wanafaa kufahamu kuwa maisha ya watu weusi ni sawa na ya watu weupe.
Mnamo Jumatano, Polisi jijini New York waliwatia mbaroni watu 83 baada ya maandamano mengine kutokea siku ambayo maandamano hayo yalianza baada ya mahakama kutupilia mbali kesi dhidi ya askari mzungu kwa kumuua Eric Garner.
Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu, wameweka matumaini yao katika maafisa wa polisi watakaoufanyia kesi hio uchunguzi zaidi.
Meya wa New York, Bill de Blasio, amenukuliwa akisema kuwa polisi 22,000 walioko mjini humo watapewa mafunzo zaidi kuhusu namna ya wanavyowakamata wahalifu au washukiwa wa uhalifu.
Rais Barack Obama amesifu tamko la Meya akisema kuwa wamarekani wengine wanahisi kutokuwepo usawa katika sheria na ambavyo inatekelezwa.

Share this article :
Tweet
✚
Newer Post
Older Post
Home

HABARI ZILIZO BAMBA TOP 10

  • MAREKANI YAITUPIA LAWAMA KOREA KASKAZINI
    Marekani inatarajia kuirudisha Korea kaskazini katika orodha ya nchi zinazofadhili ugaidi. Rais Barack Obama wa Marekani amesema utawala ...
  • MKUU wa Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, Evarista Kalalu, awashauri wananchi kujiunga na mfuko wa afya ya jamii
    MKUU wa Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, Evarista Kalalu, amewashauri wananchi wa vijiji vya Ukami na Chogo Kata ya Mapanda wilayani hapa...
  • KAULI YA UHURU KWENYE MTANDAOWA KIJAMII (TWITTER) KENYATTA HII HAPA
    Taarifa ya mahakama ya ICC, kutupilia mbali kesi dhidi ya Uhuru Kenyatta, imepokelwa na watu wengi nchini Kenya kwa hisia mseto. Baadhi w...
  • HAYA NDIO MAZITO ALIYO FUNGUKA YULE MSICHANA WA KAZI ALIYE MPIGA MTOTO
    Baada ya story ya yule msichana kwa anayefanya kazi za ndani Uganda kuchukua headlines katika vyombo mbalimbali vya Kimataifa Dun...
  • Ronaldo aosha vyombo baada ya kushindwa katika karata na mchezaji wa Tenisi Rafa Nadal
    Ali...
  • Wayne Goss, former premier of Queensland, kicked the bucket at 63
    Mr Goss, who was premier from 1989 to 1996, had suffered from ill health in recent years including brain tumours. He became Q...
  • IT 'S MATTER OF FEW MINUTES FOR WORLD CUP 2014 START SHINNING !!!!
    The World Cup  The 2014  Brazil™ is now just a matter of minutes away and to mark the occasion FIFA have launched an updated version of th...

LABELS

  • Breaking News
  • condolonces
  • Entertainment
  • Entertainments
  • Habari
  • Majonzi
  • Michezo
  • News
  • News and Updates
  • Skendo
  • Sports and Games
Submit ExpressSEO Services & Tools

Total Pageviews

Copyright 2014 Mwanafalsafa
Template By Ridwan Hex And Game Gratis