Mwanafalsafa

  • HOME
Home → Habari → Takribani watu 15 wapata upofu baada ya upasuaji nchini India

Takribani watu 15 wapata upofu baada ya upasuaji nchini India

Habari
Friday, 5 December 2014
Wagonjwa waliofanyiwa upasuaji walisema walishindwa kuona tena baada ya kuondoa bandeji kwenye macho yao
Maafisa wa utawala nchini Indiaa wanafanya uchunguzi kufuatia madai ya wagonjwa 15 kupofuka baada ya kufanyiwa upasuaji wa kutibu ugonjwa ujulikanao kama ''mtoto wa Macho' au Cataract bila malipo.
Upasuaji huo ulikuwa unafanywa na shirika moja lisilo la kiserikali katika kambi iliyotengewa matibabu hayo.
Maafisa wakuu wanasema kua kambi ambako upausuaji huo ulifanyika haikuwa na idhini inayostahili na pia waliokua wanaufanya upasuaji huo hawakuwa na vifaa vinavyostahili.
Lakini tajiri mmoja ambaye alifadhili mradhi huo, alisema wagonjwa wote 49 wa macho waliofanyiwa upasuaji walipewa huduma nzuri.
Mfumo wa afya nchini India uko chini ya darubini hasa baada ya wanawake 15 kufariki baada ya kufanyiwa upasuaji wa kufungwa kizazi.
Maelfu ya watu hufanyiwa upasuaji wa kuwatoa 'Cataract ' kwenye macho kila mwaka katika kambi za matibabu na hospitali za serikali.
Upasuaji huo kwa kawaida huonekana kuwa rahisi sana kufanywa.
Kufuatia matibabu hayo, takriban wagonjwa 15 wanasema hawajaweza kuona tena.
Madaktari katika hospitali ambako wagonjwa 11 wamepelkwa kwa martibabu wanasema wagonjwa sita au saba hawataweza kuona tena.
Mmoja wa madaktari hao, Karamjit Singh aliambia vyombo vya habari kuwa watu hao wana ugonjwa wa macho.
Aliongeza kusema kuwa ugonjwa huo umeenea hadi katika sehemu nyinginezo za macho na kwamba ityakuwa vigumu kwao kuweza kuona tena.

Share this article :
Tweet
✚
Newer Post
Older Post
Home

HABARI ZILIZO BAMBA TOP 10

  • Lorna Rutto is an entrepreneur who founded Ecopost, a Nairobi-based company that recycles plastic waste
    Lorna Rutto is an entrepreneur who founded Ecopost, a Nairobi-based company that recycles plastic waste. As part of the latest series o...
  • Wabunge wa Somali wameng'oa waziri mkuu
    Ni mara ya nne kwamba kura ya kutokuwa na imani dhidi yake ilipigwa baada ya majaribio ya awali kumalizika kwa ghasia. Waandishi ...
  • Ajali ya gari huko south B kenya
    There was a bizarre accident today morning in Hazina Estate, South B involving a Range Rover that crashed into 7 vehicles. The Ran...
  • Jennifer Lawrence has joined her castmates at the world premiere of the penultimate Hunger Games movie, Mockingjay Part 1, in London.
    Lawrence plays the heroine Katniss Everdeen in the hit franchise Jennifer Lawrence has joined her castmates at the w...
  • Catalonia's regional president Artur Mas says an official referendum is needed following Catalonia vote: 80% back independence - officials
    \ An informal vote on independence for Catalonia has shown more than 80% in favour, officials say. The non-binding vote went ahead after ...
  • After more than two years of tension over a territorial row,the leaders of China and Japan hold formal talks on the sidelines of a major Asian summit.
    Chinese President Xi Jinping and Japanese PM Shinzo Abe met on the sidelines of the Asia-Pacific Economic Co-operation (Apec) summit in B...
  • MAREKANI YAITUPIA LAWAMA KOREA KASKAZINI
    Marekani inatarajia kuirudisha Korea kaskazini katika orodha ya nchi zinazofadhili ugaidi. Rais Barack Obama wa Marekani amesema utawala ...
  • The poorest president, Jose Mujica gets $1m offer for his VW Beetle
    7 November 2014 Last updated at 07:04 GMT Uruguay's President Jose Mujica says he has been offered $1m (£630,000) for his vinta...
  • Report says,Fossil fuel promises are being broken,World governments have been breaking promises to phase out subsidies for fossil fuels, a report says.
    The report said G20 nations had been spending almost $90bn a year on finding more oil, g...
  • AJIITA KIJANA MWENYE BAHATI AKIWA KATIKATI YA WAREMBO WAWILI

LABELS

  • Breaking News
  • condolonces
  • Entertainment
  • Entertainments
  • Habari
  • Majonzi
  • Michezo
  • News
  • News and Updates
  • Skendo
  • Sports and Games
Submit ExpressSEO Services & Tools

Total Pageviews

Copyright 2014 Mwanafalsafa
Template By Ridwan Hex And Game Gratis