Mwanafalsafa

  • HOME
Home → Habari → Takribani watu 15 wapata upofu baada ya upasuaji nchini India

Takribani watu 15 wapata upofu baada ya upasuaji nchini India

Habari
Friday, 5 December 2014
Wagonjwa waliofanyiwa upasuaji walisema walishindwa kuona tena baada ya kuondoa bandeji kwenye macho yao
Maafisa wa utawala nchini Indiaa wanafanya uchunguzi kufuatia madai ya wagonjwa 15 kupofuka baada ya kufanyiwa upasuaji wa kutibu ugonjwa ujulikanao kama ''mtoto wa Macho' au Cataract bila malipo.
Upasuaji huo ulikuwa unafanywa na shirika moja lisilo la kiserikali katika kambi iliyotengewa matibabu hayo.
Maafisa wakuu wanasema kua kambi ambako upausuaji huo ulifanyika haikuwa na idhini inayostahili na pia waliokua wanaufanya upasuaji huo hawakuwa na vifaa vinavyostahili.
Lakini tajiri mmoja ambaye alifadhili mradhi huo, alisema wagonjwa wote 49 wa macho waliofanyiwa upasuaji walipewa huduma nzuri.
Mfumo wa afya nchini India uko chini ya darubini hasa baada ya wanawake 15 kufariki baada ya kufanyiwa upasuaji wa kufungwa kizazi.
Maelfu ya watu hufanyiwa upasuaji wa kuwatoa 'Cataract ' kwenye macho kila mwaka katika kambi za matibabu na hospitali za serikali.
Upasuaji huo kwa kawaida huonekana kuwa rahisi sana kufanywa.
Kufuatia matibabu hayo, takriban wagonjwa 15 wanasema hawajaweza kuona tena.
Madaktari katika hospitali ambako wagonjwa 11 wamepelkwa kwa martibabu wanasema wagonjwa sita au saba hawataweza kuona tena.
Mmoja wa madaktari hao, Karamjit Singh aliambia vyombo vya habari kuwa watu hao wana ugonjwa wa macho.
Aliongeza kusema kuwa ugonjwa huo umeenea hadi katika sehemu nyinginezo za macho na kwamba ityakuwa vigumu kwao kuweza kuona tena.

Share this article :
Tweet
✚
Newer Post
Older Post
Home

HABARI ZILIZO BAMBA TOP 10

  • MAREKANI YAITUPIA LAWAMA KOREA KASKAZINI
    Marekani inatarajia kuirudisha Korea kaskazini katika orodha ya nchi zinazofadhili ugaidi. Rais Barack Obama wa Marekani amesema utawala ...
  • MKUU wa Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, Evarista Kalalu, awashauri wananchi kujiunga na mfuko wa afya ya jamii
    MKUU wa Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, Evarista Kalalu, amewashauri wananchi wa vijiji vya Ukami na Chogo Kata ya Mapanda wilayani hapa...
  • KAULI YA UHURU KWENYE MTANDAOWA KIJAMII (TWITTER) KENYATTA HII HAPA
    Taarifa ya mahakama ya ICC, kutupilia mbali kesi dhidi ya Uhuru Kenyatta, imepokelwa na watu wengi nchini Kenya kwa hisia mseto. Baadhi w...
  • HAYA NDIO MAZITO ALIYO FUNGUKA YULE MSICHANA WA KAZI ALIYE MPIGA MTOTO
    Baada ya story ya yule msichana kwa anayefanya kazi za ndani Uganda kuchukua headlines katika vyombo mbalimbali vya Kimataifa Dun...
  • Ronaldo aosha vyombo baada ya kushindwa katika karata na mchezaji wa Tenisi Rafa Nadal
    Ali...
  • Wayne Goss, former premier of Queensland, kicked the bucket at 63
    Mr Goss, who was premier from 1989 to 1996, had suffered from ill health in recent years including brain tumours. He became Q...
  • IT 'S MATTER OF FEW MINUTES FOR WORLD CUP 2014 START SHINNING !!!!
    The World Cup  The 2014  Brazil™ is now just a matter of minutes away and to mark the occasion FIFA have launched an updated version of th...

LABELS

  • Breaking News
  • condolonces
  • Entertainment
  • Entertainments
  • Habari
  • Majonzi
  • Michezo
  • News
  • News and Updates
  • Skendo
  • Sports and Games
Submit ExpressSEO Services & Tools

Total Pageviews

Copyright 2014 Mwanafalsafa
Template By Ridwan Hex And Game Gratis