Mwanafalsafa

  • HOME
Home → Breaking News → News → Mshindi wa Nishani ya Nobel bint Malala amenukuliwa akisema "Nataka kuwa Waziri mkuu''

Mshindi wa Nishani ya Nobel bint Malala amenukuliwa akisema "Nataka kuwa Waziri mkuu''

Breaking News, News
Wednesday, 10 December 2014





Mshindi wa Nishani ya Nobel bint Malala Yousafzai raia wa Pakistani amesema kuwa siku zijazo anatarajia kuwa mwanasiasa.
Malala amesema ndoto yake hiyo anatarajia kuikamilisha baada ya kumaliza masomo yake na amesema ikiwezekana anapenda kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo.
Binti huyo ambaye amekuwa akiendesha kampeni ya elimu dhidi ya wasichana alipigwa risasi na wapiganaji wa Talban miaka miwili iliyopita.
Mshindi huyo wa Nobel Malala yupo mjini Oslo ,Norway anatarajiwa kupokea Nishani anayoshirikiana na Bindi raia wa India Kailash Satyarthi






Share this article :
Tweet
✚
Newer Post
Older Post
Home

HABARI ZILIZO BAMBA TOP 10

  • MAREKANI YAITUPIA LAWAMA KOREA KASKAZINI
    Marekani inatarajia kuirudisha Korea kaskazini katika orodha ya nchi zinazofadhili ugaidi. Rais Barack Obama wa Marekani amesema utawala ...

LABELS

  • Breaking News
  • condolonces
  • Entertainment
  • Entertainments
  • Habari
  • Majonzi
  • Michezo
  • News
  • News and Updates
  • Skendo
  • Sports and Games
Submit ExpressSEO Services & Tools

Total Pageviews

Copyright 2014 Mwanafalsafa
Template By Ridwan Hex And Game Gratis