Mwanafalsafa

  • HOME
Home → Habari → UNAMFAHAMU MWANAUME MMBEYA ? JE WATU WANAMGUMZIAJE ? KAMA WEWE MTU MZIMA TUPE MAONI YAKO

UNAMFAHAMU MWANAUME MMBEYA ? JE WATU WANAMGUMZIAJE ? KAMA WEWE MTU MZIMA TUPE MAONI YAKO

Habari
Friday, 5 December 2014







Sekta ya bidhaa za urembo, pamoja na urembeshaji wa watu inanawiri nchini Afrika Kusini.Na sio Afrika Kusini pekee bali barani Afrika kote.
Mwaka jana pekee sekta hiyo ilikuwa kwa asilimia kumi.Mwandishi wa BBC mjini Johannesburg Milton Nkosi aligundua kuhusu sekta hiyo ya manukato na bidhaa za urembo kwa wanaume pamoja na wanaume kujipamba sawa na wanavyofanya wanawake.
Sura ya bara la Afrika inabadilika. Kumekuwa na hii kasumba ya wanaume kujipamba kwenda katika saluni, kusafishwa miguu, mikono, makucha , ngozi na kufanyiwa shughuli zinazosifika tu kwa wanawake.
Wadadisi wanasema sekta hii imeendelea kukuwa hasa mwaka jana.
Kuna bidhaa nyingi tu za kuwapamba wanaume katika maduka na saluni nyingi.
Utafiti unaonyesha kuwa wanaume wengi Afrika wanajishughulisha na urembo na kujali zaidi ngozi yao
Hilo ni dhahiri katika saluni ya wanaume mjini Sandtone am,bayo kazi yake ni kuwafanya wanaume kupendeza. Zamani kidogo wanaume walikuwa wakienda kwa kinyozi kunyolewa nywele na ndevu na kupaka tu 'spirit' ili kukabiliana na vidonda vyovyote kwenye ngozi.
Leo utawapata wanaume wameweka viganja vyao ndani ya maji ya vuguvugu, makucha yakioshwa huku nywele zao zikinyolewa na huku wakipambwa nyuso zao. Hio ndio imekuwa starehe ya baadhi ya wanaume siku hizi kwenye saluni ambako pia utapata wanawake wanapambwa.
Lakini je kwa nini wanaume wengi siku hizi wanakwenda kwenye saluni kupambwa, uraibu ambao unajulikana kuwa wa wanawake? na je nini kiliwafanyikia wanaume wa zamani waliokuwa wanajulikana kuwa wenye nguvu ambao kwao ilikuwa kuoga kwa maji baridi na kwenda kwa kazi zao?
Baadhi ya wataalamu wanasema siku hizi angalau watu wanapata mishahara mizuri na hivyo wana pesa angalau kidogo za kutumia kwa mapambo.
Misharaha hio inawaruhusu kujifakhirisha. Bara la Afrika linafuata mkondo huohuo.
Je wewe unakubali wanaume kwenda kupambwa kama wanawake kwenye saluni?








Share this article :
Tweet
✚
Newer Post
Older Post
Home

HABARI ZILIZO BAMBA TOP 10

  • Umuhimu wa kushirikiana katika kazi hasa ya muziki
  • After more than two years of tension over a territorial row,the leaders of China and Japan hold formal talks on the sidelines of a major Asian summit.
    Chinese President Xi Jinping and Japanese PM Shinzo Abe met on the sidelines of the Asia-Pacific Economic Co-operation (Apec) summit in B...
  • MAREKANI YAITUPIA LAWAMA KOREA KASKAZINI
    Marekani inatarajia kuirudisha Korea kaskazini katika orodha ya nchi zinazofadhili ugaidi. Rais Barack Obama wa Marekani amesema utawala ...
  • AJIITA KIJANA MWENYE BAHATI AKIWA KATIKATI YA WAREMBO WAWILI
  • The actress best known for playing the unseen role of Howard Wolowitz's mother on The Big Bang Theory has died.
      Big Bang Theory's Mrs Wolowitz dies at the age of 62 Carol Ann Susi had played the role of Mrs Wolowitz since 2007   ...
  • Al Shabaab kero kubwa kwa wakenya
    Tazama picha hapa 4 Disemba 2014 Imebadilishwa mwisho saa 11:29 GMT Nchi yetu na watu wetu wanashambuliwa" Haya ni maneno ya...
  • Mombasa based singer akothee gets naughty,Angalia hapa
  • Sintofahamu yaibuka juu ya maelezo ya kifo cha aliyekuwa mshitakiwa wa ugaidi.
    WAKATI Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha ikielezwa kuwa taratibu za mazishi ya mtuhumiwa wa pili katika kesi ya ugaidi ya tukio la mli...
  • MKURUGENZI wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilfred Lwakatare, Aiburuza serikali mahakamani.
    ameshinda rufaa ya maombi ya marejeo yaliyowasilishwa na Serikali kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania kumfutia mashitaka ya ugai...
  • Former Youth Fund CEO, Evans Gor Semalang’o, Look at these cute pics.
    Former Youth Fund CEO, Evans Gor Semalang’o, claims that former Prime Minister Raila Odinga may have gone mad after he said that he...

LABELS

  • Breaking News
  • condolonces
  • Entertainment
  • Entertainments
  • Habari
  • Majonzi
  • Michezo
  • News
  • News and Updates
  • Skendo
  • Sports and Games
Submit ExpressSEO Services & Tools

Total Pageviews

Copyright 2014 Mwanafalsafa
Template By Ridwan Hex And Game Gratis