Mwanafalsafa

  • HOME
Home → Habari → UNAMFAHAMU MWANAUME MMBEYA ? JE WATU WANAMGUMZIAJE ? KAMA WEWE MTU MZIMA TUPE MAONI YAKO

UNAMFAHAMU MWANAUME MMBEYA ? JE WATU WANAMGUMZIAJE ? KAMA WEWE MTU MZIMA TUPE MAONI YAKO

Habari
Friday, 5 December 2014







Sekta ya bidhaa za urembo, pamoja na urembeshaji wa watu inanawiri nchini Afrika Kusini.Na sio Afrika Kusini pekee bali barani Afrika kote.
Mwaka jana pekee sekta hiyo ilikuwa kwa asilimia kumi.Mwandishi wa BBC mjini Johannesburg Milton Nkosi aligundua kuhusu sekta hiyo ya manukato na bidhaa za urembo kwa wanaume pamoja na wanaume kujipamba sawa na wanavyofanya wanawake.
Sura ya bara la Afrika inabadilika. Kumekuwa na hii kasumba ya wanaume kujipamba kwenda katika saluni, kusafishwa miguu, mikono, makucha , ngozi na kufanyiwa shughuli zinazosifika tu kwa wanawake.
Wadadisi wanasema sekta hii imeendelea kukuwa hasa mwaka jana.
Kuna bidhaa nyingi tu za kuwapamba wanaume katika maduka na saluni nyingi.
Utafiti unaonyesha kuwa wanaume wengi Afrika wanajishughulisha na urembo na kujali zaidi ngozi yao
Hilo ni dhahiri katika saluni ya wanaume mjini Sandtone am,bayo kazi yake ni kuwafanya wanaume kupendeza. Zamani kidogo wanaume walikuwa wakienda kwa kinyozi kunyolewa nywele na ndevu na kupaka tu 'spirit' ili kukabiliana na vidonda vyovyote kwenye ngozi.
Leo utawapata wanaume wameweka viganja vyao ndani ya maji ya vuguvugu, makucha yakioshwa huku nywele zao zikinyolewa na huku wakipambwa nyuso zao. Hio ndio imekuwa starehe ya baadhi ya wanaume siku hizi kwenye saluni ambako pia utapata wanawake wanapambwa.
Lakini je kwa nini wanaume wengi siku hizi wanakwenda kwenye saluni kupambwa, uraibu ambao unajulikana kuwa wa wanawake? na je nini kiliwafanyikia wanaume wa zamani waliokuwa wanajulikana kuwa wenye nguvu ambao kwao ilikuwa kuoga kwa maji baridi na kwenda kwa kazi zao?
Baadhi ya wataalamu wanasema siku hizi angalau watu wanapata mishahara mizuri na hivyo wana pesa angalau kidogo za kutumia kwa mapambo.
Misharaha hio inawaruhusu kujifakhirisha. Bara la Afrika linafuata mkondo huohuo.
Je wewe unakubali wanaume kwenda kupambwa kama wanawake kwenye saluni?








Share this article :
Tweet
✚
Newer Post
Older Post
Home

HABARI ZILIZO BAMBA TOP 10

  • Lorna Rutto is an entrepreneur who founded Ecopost, a Nairobi-based company that recycles plastic waste
    Lorna Rutto is an entrepreneur who founded Ecopost, a Nairobi-based company that recycles plastic waste. As part of the latest series o...
  • The poorest president, Jose Mujica gets $1m offer for his VW Beetle
    7 November 2014 Last updated at 07:04 GMT Uruguay's President Jose Mujica says he has been offered $1m (£630,000) for his vinta...
  • Report says,Fossil fuel promises are being broken,World governments have been breaking promises to phase out subsidies for fossil fuels, a report says.
    The report said G20 nations had been spending almost $90bn a year on finding more oil, g...
  • Wabunge wa Somali wameng'oa waziri mkuu
    Ni mara ya nne kwamba kura ya kutokuwa na imani dhidi yake ilipigwa baada ya majaribio ya awali kumalizika kwa ghasia. Waandishi ...
  • AJIITA KIJANA MWENYE BAHATI AKIWA KATIKATI YA WAREMBO WAWILI
  • John Doar, a civil rights lawyer who was a key figure in the struggle against racial segregation in the US, has died aged 92.
    John Doar was awarded the Presidential Medal of Freedom in 2012 Mr Doar dealt with some of the most prominent civil rights ca...
  • Ukweli kuhusu umoja wa fedha,Jumuiya ya Afrika Mashariki.
      OKTOBA 20 hadi 24 mwaka  huu, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) iliandaa semi...
  • BRAZIL TO EDGE OUT GERMANY IN WORLD CUP SEMI FINAL
  • Kiungo mpya wa Azam, Amri Kiemba akiwa katika jezi ya timu hiyo kwenye Uwanja wa Chamazi, Dar es Salaam jana
       Klabu ya Yanga imemleta nchini kwa majaribio mshambuliaji raia wa Zambia, Jonas Sakuwaha ...
  • Spotify's chief executive has defended its business model, saying it has paid out $2bn (£1.2bn) to the music industry to date.
      Daniel Ek pitches Spotify as a more lucrative alternative to piracy Daniel Ek's lengthy blog post follows a high profil...

LABELS

  • Breaking News
  • condolonces
  • Entertainment
  • Entertainments
  • Habari
  • Majonzi
  • Michezo
  • News
  • News and Updates
  • Skendo
  • Sports and Games
Submit ExpressSEO Services & Tools

Total Pageviews

Copyright 2014 Mwanafalsafa
Template By Ridwan Hex And Game Gratis