Mwanafalsafa

  • HOME
Home → Habari → UNAMFAHAMU MWANAUME MMBEYA ? JE WATU WANAMGUMZIAJE ? KAMA WEWE MTU MZIMA TUPE MAONI YAKO

UNAMFAHAMU MWANAUME MMBEYA ? JE WATU WANAMGUMZIAJE ? KAMA WEWE MTU MZIMA TUPE MAONI YAKO

Habari
Friday, 5 December 2014







Sekta ya bidhaa za urembo, pamoja na urembeshaji wa watu inanawiri nchini Afrika Kusini.Na sio Afrika Kusini pekee bali barani Afrika kote.
Mwaka jana pekee sekta hiyo ilikuwa kwa asilimia kumi.Mwandishi wa BBC mjini Johannesburg Milton Nkosi aligundua kuhusu sekta hiyo ya manukato na bidhaa za urembo kwa wanaume pamoja na wanaume kujipamba sawa na wanavyofanya wanawake.
Sura ya bara la Afrika inabadilika. Kumekuwa na hii kasumba ya wanaume kujipamba kwenda katika saluni, kusafishwa miguu, mikono, makucha , ngozi na kufanyiwa shughuli zinazosifika tu kwa wanawake.
Wadadisi wanasema sekta hii imeendelea kukuwa hasa mwaka jana.
Kuna bidhaa nyingi tu za kuwapamba wanaume katika maduka na saluni nyingi.
Utafiti unaonyesha kuwa wanaume wengi Afrika wanajishughulisha na urembo na kujali zaidi ngozi yao
Hilo ni dhahiri katika saluni ya wanaume mjini Sandtone am,bayo kazi yake ni kuwafanya wanaume kupendeza. Zamani kidogo wanaume walikuwa wakienda kwa kinyozi kunyolewa nywele na ndevu na kupaka tu 'spirit' ili kukabiliana na vidonda vyovyote kwenye ngozi.
Leo utawapata wanaume wameweka viganja vyao ndani ya maji ya vuguvugu, makucha yakioshwa huku nywele zao zikinyolewa na huku wakipambwa nyuso zao. Hio ndio imekuwa starehe ya baadhi ya wanaume siku hizi kwenye saluni ambako pia utapata wanawake wanapambwa.
Lakini je kwa nini wanaume wengi siku hizi wanakwenda kwenye saluni kupambwa, uraibu ambao unajulikana kuwa wa wanawake? na je nini kiliwafanyikia wanaume wa zamani waliokuwa wanajulikana kuwa wenye nguvu ambao kwao ilikuwa kuoga kwa maji baridi na kwenda kwa kazi zao?
Baadhi ya wataalamu wanasema siku hizi angalau watu wanapata mishahara mizuri na hivyo wana pesa angalau kidogo za kutumia kwa mapambo.
Misharaha hio inawaruhusu kujifakhirisha. Bara la Afrika linafuata mkondo huohuo.
Je wewe unakubali wanaume kwenda kupambwa kama wanawake kwenye saluni?








Share this article :
Tweet
✚
Newer Post
Older Post
Home

HABARI ZILIZO BAMBA TOP 10

  • MAREKANI YAITUPIA LAWAMA KOREA KASKAZINI
    Marekani inatarajia kuirudisha Korea kaskazini katika orodha ya nchi zinazofadhili ugaidi. Rais Barack Obama wa Marekani amesema utawala ...
  • MKUU wa Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, Evarista Kalalu, awashauri wananchi kujiunga na mfuko wa afya ya jamii
    MKUU wa Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, Evarista Kalalu, amewashauri wananchi wa vijiji vya Ukami na Chogo Kata ya Mapanda wilayani hapa...
  • KAULI YA UHURU KWENYE MTANDAOWA KIJAMII (TWITTER) KENYATTA HII HAPA
    Taarifa ya mahakama ya ICC, kutupilia mbali kesi dhidi ya Uhuru Kenyatta, imepokelwa na watu wengi nchini Kenya kwa hisia mseto. Baadhi w...
  • HAYA NDIO MAZITO ALIYO FUNGUKA YULE MSICHANA WA KAZI ALIYE MPIGA MTOTO
    Baada ya story ya yule msichana kwa anayefanya kazi za ndani Uganda kuchukua headlines katika vyombo mbalimbali vya Kimataifa Dun...
  • Ronaldo aosha vyombo baada ya kushindwa katika karata na mchezaji wa Tenisi Rafa Nadal
    Ali...
  • Wayne Goss, former premier of Queensland, kicked the bucket at 63
    Mr Goss, who was premier from 1989 to 1996, had suffered from ill health in recent years including brain tumours. He became Q...
  • IT 'S MATTER OF FEW MINUTES FOR WORLD CUP 2014 START SHINNING !!!!
    The World Cup  The 2014  Brazil™ is now just a matter of minutes away and to mark the occasion FIFA have launched an updated version of th...

LABELS

  • Breaking News
  • condolonces
  • Entertainment
  • Entertainments
  • Habari
  • Majonzi
  • Michezo
  • News
  • News and Updates
  • Skendo
  • Sports and Games
Submit ExpressSEO Services & Tools

Total Pageviews

Copyright 2014 Mwanafalsafa
Template By Ridwan Hex And Game Gratis