Mwanafalsafa

  • HOME
Home → Tanpa Kategori → KAMPUNI YA USAMBAZAJI WA FILAMU NCHINI-(STEPS ENTERTAINMENT) YASHUSHA BEI ZA FILAMU ZA KIBONGO.

KAMPUNI YA USAMBAZAJI WA FILAMU NCHINI-(STEPS ENTERTAINMENT) YASHUSHA BEI ZA FILAMU ZA KIBONGO.

Saturday, 20 December 2014
Wasanii wa filamu pamoja na kampuni ya usambazaji wa filamu nchini ‘Steps Entertainment’ wameamua kushusha bei ya filamu hadi kufikia shilingi 1,500 kwa nakala moja ili kujaribu kupambana na waharamia wa kazi za wasanii.



Muigizaji Salma Jabu aka Nisha ambaye hufanya kazi na kampuni hiyo ameiambia Bongo5 kuwa imewabidi wafanye hivyo ili kuwawezesha watanzania wote kuwa na uwezo wa kupata kopi halisi za kuacha kununua feki.

“Kweli tumekaa na Steps, tunaona njia pekee ya kupambana na waharamia wa kazi zetu ni kupunguza bei ya filamu zetu,” amesema Nisha. “Kuanzia mwezi February 2015, filamu zitaanza kuuzwa kwa bei ya shilingi 1,500 za kitanzania badala ya 3,000 kama bei ya rejereja. Kwahiyo kama utakuwa unahitaji mbili ina maana utatoa shilingi 3,000. Tumeshuka ili kumshawishi mtanzania kuacha kununuA filamu za mitaani kwa bei ya 1,000, ni bora tupunguze hii filamu yetu orijino iliyokuwa inauzwa 3,000 tupunguze mpaka 1,500 ili aweze kuinunua,” ameongeza.

“Kwahiyo kama alikuwa anahitaji mbili, anatoa shilingi 3,000 badala ya 6,000 ambayo ilikuwa bei ya mwanzo. Kwahiyo sisi kama wasanii tumeona bora tuuze kwa bei hiyo tukiwa tuna imani tutauza filamu nyingi na tutakuwa tunapata faida.”



Pia Nisha amewataka watanzania kumuunga mkono kwa kununua filamu yake mpya, ‘Hakuna Matata’ inayotarajiwa kutoka December 22 mwaka huu.

Share this article :
Tweet
✚
Newer Post
Older Post
Home

HABARI ZILIZO BAMBA TOP 10

  • The World leaders are arriving in Australia for this weekend's G20 summit in the Queensland city of Brisbane.
      The two-day summit, attended by the US, Chinese and Russian leaders among others, will focus on promoting growth. Australian Pri...
  • Ronaldo aosha vyombo baada ya kushindwa katika karata na mchezaji wa Tenisi Rafa Nadal
    Ali...
  • In long, dimly lit hallways, clusters of people wait anxiously outside courtrooms for their cases to come before a judge.
    The New York Immigration Court is an extraordinarily busy place. In long, dimly lit hallways, clusters of people wait anxiously outside co...
  • Chinese leader Xi Jinping has urged Asia-Pacific nations to accelerate economic integration to spur global growth, on day two of the Apec summit.
    The high-level meeting includes the leaders of the US, Russia, China, Japan and others He spoke as leaders from the 21-na...
  • John Doar, a civil rights lawyer who was a key figure in the struggle against racial segregation in the US, has died aged 92.
    John Doar was awarded the Presidential Medal of Freedom in 2012 Mr Doar dealt with some of the most prominent civil rights ca...
  • Ukweli kuhusu umoja wa fedha,Jumuiya ya Afrika Mashariki.
      OKTOBA 20 hadi 24 mwaka  huu, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) iliandaa semi...
  • Kiungo mpya wa Azam, Amri Kiemba akiwa katika jezi ya timu hiyo kwenye Uwanja wa Chamazi, Dar es Salaam jana
       Klabu ya Yanga imemleta nchini kwa majaribio mshambuliaji raia wa Zambia, Jonas Sakuwaha ...
  • Rais wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ametunukiwa Tuzo ya Mafanikio Katika Utumishi wa Umma kutokana na mchango alioutoa kwenye uchumi wakati wa utawala wake.
      Kwa ufupi Kufanya kazi bila kuchoka, kusisitiza uwazi na ukweli katika kuboresha uchumi katika kipindi chake kwampaisha....
  • Dies aged 87,singing legend, Sabah, Lebanese
      Sabah was nicknamed "Shahroura", Arabic for "singing bird" by her mil...
  • Tatizo la kuwapo bandari bubu linazidi kuongezeka.
    Rais Jakaya Kikwete.PICHA|MAKTABA   Jeshi la Polisi mkoani Tanga ju...

LABELS

  • Breaking News
  • condolonces
  • Entertainment
  • Entertainments
  • Habari
  • Majonzi
  • Michezo
  • News
  • News and Updates
  • Skendo
  • Sports and Games
Submit ExpressSEO Services & Tools

Total Pageviews

Copyright 2014 Mwanafalsafa
Template By Ridwan Hex And Game Gratis