Mwanafalsafa

  • HOME
Home → Tanpa Kategori → KAMPUNI YA USAMBAZAJI WA FILAMU NCHINI-(STEPS ENTERTAINMENT) YASHUSHA BEI ZA FILAMU ZA KIBONGO.

KAMPUNI YA USAMBAZAJI WA FILAMU NCHINI-(STEPS ENTERTAINMENT) YASHUSHA BEI ZA FILAMU ZA KIBONGO.

Saturday, 20 December 2014
Wasanii wa filamu pamoja na kampuni ya usambazaji wa filamu nchini ‘Steps Entertainment’ wameamua kushusha bei ya filamu hadi kufikia shilingi 1,500 kwa nakala moja ili kujaribu kupambana na waharamia wa kazi za wasanii.



Muigizaji Salma Jabu aka Nisha ambaye hufanya kazi na kampuni hiyo ameiambia Bongo5 kuwa imewabidi wafanye hivyo ili kuwawezesha watanzania wote kuwa na uwezo wa kupata kopi halisi za kuacha kununua feki.

“Kweli tumekaa na Steps, tunaona njia pekee ya kupambana na waharamia wa kazi zetu ni kupunguza bei ya filamu zetu,” amesema Nisha. “Kuanzia mwezi February 2015, filamu zitaanza kuuzwa kwa bei ya shilingi 1,500 za kitanzania badala ya 3,000 kama bei ya rejereja. Kwahiyo kama utakuwa unahitaji mbili ina maana utatoa shilingi 3,000. Tumeshuka ili kumshawishi mtanzania kuacha kununuA filamu za mitaani kwa bei ya 1,000, ni bora tupunguze hii filamu yetu orijino iliyokuwa inauzwa 3,000 tupunguze mpaka 1,500 ili aweze kuinunua,” ameongeza.

“Kwahiyo kama alikuwa anahitaji mbili, anatoa shilingi 3,000 badala ya 6,000 ambayo ilikuwa bei ya mwanzo. Kwahiyo sisi kama wasanii tumeona bora tuuze kwa bei hiyo tukiwa tuna imani tutauza filamu nyingi na tutakuwa tunapata faida.”



Pia Nisha amewataka watanzania kumuunga mkono kwa kununua filamu yake mpya, ‘Hakuna Matata’ inayotarajiwa kutoka December 22 mwaka huu.

Share this article :
Tweet
✚
Newer Post
Older Post
Home

HABARI ZILIZO BAMBA TOP 10

  • MAREKANI YAITUPIA LAWAMA KOREA KASKAZINI
    Marekani inatarajia kuirudisha Korea kaskazini katika orodha ya nchi zinazofadhili ugaidi. Rais Barack Obama wa Marekani amesema utawala ...
  • Mombasa based singer akothee gets naughty,Angalia hapa
  • Vita dhidi ya Ukimwi zashika kasi, mbinu madhubuti zachukuliwa !
    DESEMBA mosi, kila mwaka, watu wote duniani huadhimisha Siku ya Ukimwi Duniani. Siku hiyo ilianzishwa mwaka 1987 na hubeba maudhui mbalim...
  • ,Juncker reveals giant EU investment planJuncker said Europe needed a kick-start and the Commission was offering the jump-leads
    Mr  European Commission President Jean-Claude Juncker has given details of a €315bn (£250bn;$393bn) investment plan to kic...
  • Kwaninii serikali imewekeza katika siasa na imesahau wakulima ?
      Hata hivyo, wakulima wamekwazwa na kodi nyingi wanazotozwa kwa kila gunia inapotokea wakauza sehemu ya ...
  • Mdogo wa Zari Hassan apaka matope uhusiano wake na Diamond
    Mdogo wake na Zari Hassan aka The Bosslady, aitwaye Karim ametumia Facebook kumkosoa dada yake kwa kuwa na uhusiano na Diamond Platnumz amb...
  • DAVIDO,TIWA SWAGE,DIAMOND, MR.FLAVOUR ON THE SHOOT,CHECK THE NEW VIDEO HERE
    Africa MultiChoice has launched it’s biggest  campaign yet, to celebrate Africa’s positivity , successes and the ability to  te...
  • Wayne Goss, former premier of Queensland, kicked the bucket at 63
    Mr Goss, who was premier from 1989 to 1996, had suffered from ill health in recent years including brain tumours. He became Q...
  • Third death confirmed in Mali The Pasteur Clinic in Bamako has been placed in quarantine and is under armed guard
      A nurse and the patient he was treating have become the second and third people to die from Ebola in Mali. The patient,...
  • The poorest president, Jose Mujica gets $1m offer for his VW Beetle
    7 November 2014 Last updated at 07:04 GMT Uruguay's President Jose Mujica says he has been offered $1m (£630,000) for his vinta...

LABELS

  • Breaking News
  • condolonces
  • Entertainment
  • Entertainments
  • Habari
  • Majonzi
  • Michezo
  • News
  • News and Updates
  • Skendo
  • Sports and Games
Submit ExpressSEO Services & Tools

Total Pageviews

Copyright 2014 Mwanafalsafa
Template By Ridwan Hex And Game Gratis