Mwanafalsafa

  • HOME
Home → Habari → Wanafunzi wafundishwe ujasiriamali mapema

Wanafunzi wafundishwe ujasiriamali mapema

Habari
Tuesday, 25 November 2014


Kuna kaulimbiu za shule mbalimbali ambazo zimekuwa zikionekana katika nyaraka za shule.
Kwa mfano, unaweza utakutana na misemo kama “Elimu ni Maisha,” “Elimu ni Ufunguo wa Maisha” na nyingine nyingi.
Lengo la misemo hii ni kuonyesha jinsi taasisi husika inavyowaandaa watu wake kwa ajili ya maisha yao ya baadaye.
Kwa maana hiyo waandaliwa hao wanatakiwa wawe wakala wazuri wa shule zao uko waendako kwa kufanana na kaulimbiu hizo.
Pamoja na kwamba taasisi hizo huwa na malengo mazuri, suala la utekelezaji wa malengo hayo huwa ni changamoto.
Nasema ni changamoto kwa sababu tunaona jinsi idadi kubwa ya wahitimu wanaotoka katika taasisi wasivyohusiana na kaulimbiu za taasisi zao.
Funzo tunalolipata hapa ni kuwa hatuna budi kusimamia na kutekeleza kwa vitendo kauli mbiu tunazoziamini.
Utekelezaji wake kwa vitendo utazaa matunda yaliyokusudiwa. Katika elimu ya ujasiriamali, matendo ndicho kitu cha thamani kubwa kuliko maneno yatokayo katika mdomo wa mtu.
Wataalamu wa elimu ya ujasiriamali kama vile Garavan na Barra wanasema kuwa madhumuni ye elimu ya ujasiriamali ni pamoja na kupata maarifa stahiki ya ujasiriamali.
Pia, ni kupata ujuzi utakaosaidia kutumia mbinu mbalimbali za uchambuzi wa masuala ya biashara. Vilevile ni kubainisha na kuchochea ujasiriamali.
Madhumuni mengine ni kujenga na kuendeleza mambo yanayowagusa wajasiriamali ikiwa ni pamoja na kusaidia masuala yote yanayohusiana na ujasiriamali.
Kama haya yakifanyika katika viwango vyetu vya elimu itakuwa rahisi kwa Taifa letu kuwa na maendeleo endelevu. Tutakuwa tumejenga watu wenye maarifa na ujuzi wa kufanya kazi kwa manufaa yao na taifa lao

Share this article :
Tweet
✚
Newer Post
Older Post
Home

HABARI ZILIZO BAMBA TOP 10

  • The World leaders are arriving in Australia for this weekend's G20 summit in the Queensland city of Brisbane.
      The two-day summit, attended by the US, Chinese and Russian leaders among others, will focus on promoting growth. Australian Pri...
  • Ronaldo aosha vyombo baada ya kushindwa katika karata na mchezaji wa Tenisi Rafa Nadal
    Ali...
  • In long, dimly lit hallways, clusters of people wait anxiously outside courtrooms for their cases to come before a judge.
    The New York Immigration Court is an extraordinarily busy place. In long, dimly lit hallways, clusters of people wait anxiously outside co...
  • Chinese leader Xi Jinping has urged Asia-Pacific nations to accelerate economic integration to spur global growth, on day two of the Apec summit.
    The high-level meeting includes the leaders of the US, Russia, China, Japan and others He spoke as leaders from the 21-na...
  • John Doar, a civil rights lawyer who was a key figure in the struggle against racial segregation in the US, has died aged 92.
    John Doar was awarded the Presidential Medal of Freedom in 2012 Mr Doar dealt with some of the most prominent civil rights ca...
  • Ukweli kuhusu umoja wa fedha,Jumuiya ya Afrika Mashariki.
      OKTOBA 20 hadi 24 mwaka  huu, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) iliandaa semi...
  • Kiungo mpya wa Azam, Amri Kiemba akiwa katika jezi ya timu hiyo kwenye Uwanja wa Chamazi, Dar es Salaam jana
       Klabu ya Yanga imemleta nchini kwa majaribio mshambuliaji raia wa Zambia, Jonas Sakuwaha ...
  • Rais wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ametunukiwa Tuzo ya Mafanikio Katika Utumishi wa Umma kutokana na mchango alioutoa kwenye uchumi wakati wa utawala wake.
      Kwa ufupi Kufanya kazi bila kuchoka, kusisitiza uwazi na ukweli katika kuboresha uchumi katika kipindi chake kwampaisha....
  • Dies aged 87,singing legend, Sabah, Lebanese
      Sabah was nicknamed "Shahroura", Arabic for "singing bird" by her mil...
  • Tatizo la kuwapo bandari bubu linazidi kuongezeka.
    Rais Jakaya Kikwete.PICHA|MAKTABA   Jeshi la Polisi mkoani Tanga ju...

LABELS

  • Breaking News
  • condolonces
  • Entertainment
  • Entertainments
  • Habari
  • Majonzi
  • Michezo
  • News
  • News and Updates
  • Skendo
  • Sports and Games
Submit ExpressSEO Services & Tools

Total Pageviews

Copyright 2014 Mwanafalsafa
Template By Ridwan Hex And Game Gratis