Mwanafalsafa

  • HOME
Home → Tanpa Kategori → Umoja wa mataifa kuzindua msaada wa kimataifa leo hii.

Umoja wa mataifa kuzindua msaada wa kimataifa leo hii.

Monday, 8 December 2014






Ombi hilo ni la kila mwaka na hulenga kupata fedha za kukabiliana na madhara ya vita na mizozo ya kibinadamu duniani kote.
Kadhalika ombi hilo linajiri wakati mashirika ya misaada yanaonya kuwa yameishiwa na fedha za kukimu oparesheni za mwaka huu.
Wiki iliyopita, shirika la mpango wa chakula duniani lilitangaza kuwa limelazimika kupunguza msaada wa chakula kwa wakimbizi wa Syria.
Mwaka mmoja uliopita, Umoja wa mataifa uliomba dola bilioni 13 za Marekani, kwa utoaji misaada duniani - nchini Syria, Sudan Kusini, au Jamhuri ya Afrika ya Kati.
Lakini hiyo ilikuwa kabla ya mgogoro uliojiri Ukraine, kabla ya kuzuka kwa kundi la Islamic State Iraq, na kabla ya janga la Ebola. Dola bilioni 13 hazikutosha - na pesa hizo hazikutolewa kikamilifu na nchi wafadhili.
Na sasa unapojaribu kukabiliana na mahitaji ya mwaka huu, mashirika ya misaada ya umoja huo, yataomba fedha za miezi 12 ijayo. Chakula na vifaa vya matibabu kwa wakimbizi vinafaa kununuliwa mapema, hospitali zinahitajika na zinafaa kujengwa.
Misaada ya kibinadamu haipatikani mara moja, mashirika ya misaada yanahitaji kupanga, lakini ili kufanya hivyo, yanahitaji fedha.
Ombi la mwaka 2015 litadhihirisha mizozo mingi iliopo duniani na changamoto kubwa zinazoyakabili mashirika ya umoja huo yakijaribu kuwasaidia wale waliokumbwa na migogoro hiyo.






Share this article :
Tweet
✚
Newer Post
Older Post
Home

HABARI ZILIZO BAMBA TOP 10

  • Takribani watu 15 wapata upofu baada ya upasuaji nchini India
    Wagonjwa waliofanyiwa upasuaji walisema walishindwa kuona tena baada ya kuondoa bandeji kwenye macho yao Maafisa wa utawala nchini Indiaa w...
  • Familia ya mateka yasihi Al Qaeda kumwachilia
    Marekani imeeleza kuwa ilijaribu kumwokoa raia wake mzaliwa wa Uingereza Luke Somers, anayeshikiliwa mateka na al-Qaeda nchini Yemen. ...
  • Ona kilichotokea kwa jimama hili kipindi lina jaribu kucheza jirani na swimming pool.Noii huko Kenya mida ya jana jioni
       
  • AJIITA KIJANA MWENYE BAHATI AKIWA KATIKATI YA WAREMBO WAWILI
  • BRAZIL TO EDGE OUT GERMANY IN WORLD CUP SEMI FINAL
  • KAULI YA UHURU KWENYE MTANDAOWA KIJAMII (TWITTER) KENYATTA HII HAPA
    Taarifa ya mahakama ya ICC, kutupilia mbali kesi dhidi ya Uhuru Kenyatta, imepokelwa na watu wengi nchini Kenya kwa hisia mseto. Baadhi w...
  • Maandano zidi ya kutupiliwa mbali kwa kesi ya afisa polisi mjini New York
    Maandamano mjini New York Waandamanaji wameingia katika barabara za miji mingi Nchini Marekani kwa usiku wa pili mtawalia, kupinga maamu...
  • Jennifer Lawrence has joined her castmates at the world premiere of the penultimate Hunger Games movie, Mockingjay Part 1, in London.
    Lawrence plays the heroine Katniss Everdeen in the hit franchise Jennifer Lawrence has joined her castmates at the w...
  • MORE THAN 10,000 GRADUATES TURN UP FOR SEVENTY JOB VACANCIES IN DAR ES SLAAM.
    According to the list of names seen by The Guardian yesterday morning, the department listed 10,816 candidates to perform the interview tha...
  • Mshindi wa Nishani ya Nobel bint Malala amenukuliwa akisema "Nataka kuwa Waziri mkuu''
    Mshindi wa Nishani ya Nobel bint Malala Yousafzai raia wa Pakistani amesema kuwa siku zijazo anatarajia kuwa mwanasiasa. Malala a...

LABELS

  • Breaking News
  • condolonces
  • Entertainment
  • Entertainments
  • Habari
  • Majonzi
  • Michezo
  • News
  • News and Updates
  • Skendo
  • Sports and Games
Submit ExpressSEO Services & Tools

Total Pageviews

Copyright 2014 Mwanafalsafa
Template By Ridwan Hex And Game Gratis