Mwanafalsafa

  • HOME
Home → Tanpa Kategori → Umoja wa mataifa kuzindua msaada wa kimataifa leo hii.

Umoja wa mataifa kuzindua msaada wa kimataifa leo hii.

Monday, 8 December 2014






Ombi hilo ni la kila mwaka na hulenga kupata fedha za kukabiliana na madhara ya vita na mizozo ya kibinadamu duniani kote.
Kadhalika ombi hilo linajiri wakati mashirika ya misaada yanaonya kuwa yameishiwa na fedha za kukimu oparesheni za mwaka huu.
Wiki iliyopita, shirika la mpango wa chakula duniani lilitangaza kuwa limelazimika kupunguza msaada wa chakula kwa wakimbizi wa Syria.
Mwaka mmoja uliopita, Umoja wa mataifa uliomba dola bilioni 13 za Marekani, kwa utoaji misaada duniani - nchini Syria, Sudan Kusini, au Jamhuri ya Afrika ya Kati.
Lakini hiyo ilikuwa kabla ya mgogoro uliojiri Ukraine, kabla ya kuzuka kwa kundi la Islamic State Iraq, na kabla ya janga la Ebola. Dola bilioni 13 hazikutosha - na pesa hizo hazikutolewa kikamilifu na nchi wafadhili.
Na sasa unapojaribu kukabiliana na mahitaji ya mwaka huu, mashirika ya misaada ya umoja huo, yataomba fedha za miezi 12 ijayo. Chakula na vifaa vya matibabu kwa wakimbizi vinafaa kununuliwa mapema, hospitali zinahitajika na zinafaa kujengwa.
Misaada ya kibinadamu haipatikani mara moja, mashirika ya misaada yanahitaji kupanga, lakini ili kufanya hivyo, yanahitaji fedha.
Ombi la mwaka 2015 litadhihirisha mizozo mingi iliopo duniani na changamoto kubwa zinazoyakabili mashirika ya umoja huo yakijaribu kuwasaidia wale waliokumbwa na migogoro hiyo.






Share this article :
Tweet
✚
Newer Post
Older Post
Home

HABARI ZILIZO BAMBA TOP 10

  • Lorna Rutto is an entrepreneur who founded Ecopost, a Nairobi-based company that recycles plastic waste
    Lorna Rutto is an entrepreneur who founded Ecopost, a Nairobi-based company that recycles plastic waste. As part of the latest series o...
  • Wabunge wa Somali wameng'oa waziri mkuu
    Ni mara ya nne kwamba kura ya kutokuwa na imani dhidi yake ilipigwa baada ya majaribio ya awali kumalizika kwa ghasia. Waandishi ...
  • Ajali ya gari huko south B kenya
    There was a bizarre accident today morning in Hazina Estate, South B involving a Range Rover that crashed into 7 vehicles. The Ran...
  • Jennifer Lawrence has joined her castmates at the world premiere of the penultimate Hunger Games movie, Mockingjay Part 1, in London.
    Lawrence plays the heroine Katniss Everdeen in the hit franchise Jennifer Lawrence has joined her castmates at the w...
  • Catalonia's regional president Artur Mas says an official referendum is needed following Catalonia vote: 80% back independence - officials
    \ An informal vote on independence for Catalonia has shown more than 80% in favour, officials say. The non-binding vote went ahead after ...
  • After more than two years of tension over a territorial row,the leaders of China and Japan hold formal talks on the sidelines of a major Asian summit.
    Chinese President Xi Jinping and Japanese PM Shinzo Abe met on the sidelines of the Asia-Pacific Economic Co-operation (Apec) summit in B...
  • MAREKANI YAITUPIA LAWAMA KOREA KASKAZINI
    Marekani inatarajia kuirudisha Korea kaskazini katika orodha ya nchi zinazofadhili ugaidi. Rais Barack Obama wa Marekani amesema utawala ...
  • The poorest president, Jose Mujica gets $1m offer for his VW Beetle
    7 November 2014 Last updated at 07:04 GMT Uruguay's President Jose Mujica says he has been offered $1m (£630,000) for his vinta...
  • Report says,Fossil fuel promises are being broken,World governments have been breaking promises to phase out subsidies for fossil fuels, a report says.
    The report said G20 nations had been spending almost $90bn a year on finding more oil, g...
  • AJIITA KIJANA MWENYE BAHATI AKIWA KATIKATI YA WAREMBO WAWILI

LABELS

  • Breaking News
  • condolonces
  • Entertainment
  • Entertainments
  • Habari
  • Majonzi
  • Michezo
  • News
  • News and Updates
  • Skendo
  • Sports and Games
Submit ExpressSEO Services & Tools

Total Pageviews

Copyright 2014 Mwanafalsafa
Template By Ridwan Hex And Game Gratis