Mwanafalsafa

  • HOME
Home → Michezo → Tetesi Manchester United inaweza kutumia mpaka kiasi cha pauni milioni 350 kwa kipindi cha miaka miwili katika kusajili wachezaji wapya.

Tetesi Manchester United inaweza kutumia mpaka kiasi cha pauni milioni 350 kwa kipindi cha miaka miwili katika kusajili wachezaji wapya.

Michezo
Friday, 5 December 2014
Manchester United inamlenga Kevin Strootman
Manchester United inaweza kutumia mpaka kiasi cha pauni milioni 350 kwa kipindi cha miaka miwili katika kusajili wachezaji wapya.
Hii inaweza kufikiwa kama watafanikiwa kuwasajili kiungo Kevin Strootman 24,toka roma, na beki wa Borussia Dortmund Mart Hummels, 25,pia inasadikika kocha Louis van Gaal anamtaka beki wa kulia wa Southampton Nathaniel Clyne, 23.
Arsenal wako tayari kurekebisha safu yao ya kiungo kwa kumuwania kiungo Morgan Schneiderlin, toka Southampton kwa dau la pauni milioni 15 pia wako tayari kutoa pauni milioni 8 kwa beki Tyrone Mings, 21,wa Ipswich Town.
Inter Milan wanaangalia uwezekano wa kumsajili mshambulaiji Joel Campbell, wa Arsenal raia wa Costa Rica pamoja na kiungo wa Tottenham Erik Lamela 22.
Henrique Pompeu wakala wa mshambuliaji wa Colombia Jackson Martinez 28, ameeleza kuwa mteja wake huyo hato ondoka katika timu yake ya Fc Porto japo timu za Arsenal, Liverpool and Tottenham zimekua zikimuwania.
Meneja wa Newcastle Alan Pardew, anawasiwasi nyota wake Moussa Sissoko,ataondoka St James' Park kuelekea Arsenal katika usajili wa dirisha dogo mwezi januari.
Real Madrid na Paris St-Germain wanapigana vikumbo kuweza kupata saini ya mshambuliaji Eden Hazard.Huku chelsea wakiwa tayari kumboreshea kandarasi yake ya sasa nyota huyo wa ubelgiji mwenye miaka 23.
Kiungo wa kibrazil Luca Silva,21,anayechezea klabu ya Cruzeiro yuko tayari kuzikata ofa za Manchester United na Arsenal ili kujiunga na miamba wa hispania Real Madrid.
Timu Leicester City itajaribu kutaka kumrejesha tena kwenye ligi ya Epl mshambuliaji Jermain Defoe, 32,toka klabu ya Toronto Fc.

Share this article :
Tweet
✚
Newer Post
Older Post
Home

HABARI ZILIZO BAMBA TOP 10

  • MAREKANI YAITUPIA LAWAMA KOREA KASKAZINI
    Marekani inatarajia kuirudisha Korea kaskazini katika orodha ya nchi zinazofadhili ugaidi. Rais Barack Obama wa Marekani amesema utawala ...
  • MKUU wa Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, Evarista Kalalu, awashauri wananchi kujiunga na mfuko wa afya ya jamii
    MKUU wa Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, Evarista Kalalu, amewashauri wananchi wa vijiji vya Ukami na Chogo Kata ya Mapanda wilayani hapa...
  • KAULI YA UHURU KWENYE MTANDAOWA KIJAMII (TWITTER) KENYATTA HII HAPA
    Taarifa ya mahakama ya ICC, kutupilia mbali kesi dhidi ya Uhuru Kenyatta, imepokelwa na watu wengi nchini Kenya kwa hisia mseto. Baadhi w...
  • HAYA NDIO MAZITO ALIYO FUNGUKA YULE MSICHANA WA KAZI ALIYE MPIGA MTOTO
    Baada ya story ya yule msichana kwa anayefanya kazi za ndani Uganda kuchukua headlines katika vyombo mbalimbali vya Kimataifa Dun...
  • Ronaldo aosha vyombo baada ya kushindwa katika karata na mchezaji wa Tenisi Rafa Nadal
    Ali...
  • Wayne Goss, former premier of Queensland, kicked the bucket at 63
    Mr Goss, who was premier from 1989 to 1996, had suffered from ill health in recent years including brain tumours. He became Q...
  • IT 'S MATTER OF FEW MINUTES FOR WORLD CUP 2014 START SHINNING !!!!
    The World Cup  The 2014  Brazil™ is now just a matter of minutes away and to mark the occasion FIFA have launched an updated version of th...

LABELS

  • Breaking News
  • condolonces
  • Entertainment
  • Entertainments
  • Habari
  • Majonzi
  • Michezo
  • News
  • News and Updates
  • Skendo
  • Sports and Games
Submit ExpressSEO Services & Tools

Total Pageviews

Copyright 2014 Mwanafalsafa
Template By Ridwan Hex And Game Gratis