Mwanafalsafa

  • HOME
Home → Skendo → MSANII KULAZWA KWA KUKOSA KUNYWA MAJI SAFI NA SALAMA

MSANII KULAZWA KWA KUKOSA KUNYWA MAJI SAFI NA SALAMA

Skendo
Wednesday, 10 December 2014





MSANII wa filamu na muziki wa taarabu Bongo, Upendo Mushi ‘Pendo’ yu kitandani baada ya kuugua ghafla kwa kile ambacho madaktari waligundua ni kunywa maji yasiyochemshwa.
Msanii wa filamu na muziki wa taarabu Bongo, Upendo Mushi ‘Pendo.
Kwa mujibu wa chanzo chetu cha kuaminika, msanii huyo anayeishi Mwananyamala jijni Dar es Salaam, baada ya kupimwa na kukutwa na ugonjwa huo, alipatiwa matibabu na kurejea nyumbani ambako bado hali yake haijakaa sawa.
“Ni kweli, lakini nilishangaa sana madaktari walivyoniambia eti nilikunywa maji yasiyochemshwa wakati mimi siku zote nakunywa maji ya dukani, namshukuru Mungu lakini naendelea vizuri tofauti na nilivyopelekwa hospitali,” alisema Pendo baada ya kuulizwa kuhusu ishu hiyo






Share this article :
Tweet
✚
Newer Post
Older Post
Home

HABARI ZILIZO BAMBA TOP 10

  • MAREKANI YAITUPIA LAWAMA KOREA KASKAZINI
    Marekani inatarajia kuirudisha Korea kaskazini katika orodha ya nchi zinazofadhili ugaidi. Rais Barack Obama wa Marekani amesema utawala ...

LABELS

  • Breaking News
  • condolonces
  • Entertainment
  • Entertainments
  • Habari
  • Majonzi
  • Michezo
  • News
  • News and Updates
  • Skendo
  • Sports and Games
Submit ExpressSEO Services & Tools

Total Pageviews

Copyright 2014 Mwanafalsafa
Template By Ridwan Hex And Game Gratis