Mwanafalsafa

  • HOME
Home → Michezo → Leicester yachezea kichapo cha goli 3 kwa 1 kutoka kwa Liverpool janam usiku

Leicester yachezea kichapo cha goli 3 kwa 1 kutoka kwa Liverpool janam usiku

Michezo
Thursday, 4 December 2014



Steven Gerrard akishangilia goli na wachezaji wenzake wa timu ya Liverpool, walipowalaza Leicester 3-1
Ligi ya kuu ya England iliendelea jana usiku katika viwanja mbali mbali. Leicester inayoburuza mkia katika ligi hiyo ikiwa na pointi 10 katika michezo 14 iliyocheza waliikaribisha Liverpool ambayo iliibuka na u
shindi wa magoli 3-1 katika mechi hiyo. Hadi kumalizikakwa kipindi cha kwanza timu hizo zilikuwa zimefungana goli 1-1. Kwa matokeo hayo Liverpool imeshika nafasi ya 8 nyuma ya Asernal , zote zikiwa na pointi 20. Hata hivyo Asernal imecheza mchezo mmoja pungufu ya Liverpool yenye mechi 14 ilizokwishacheza.
Matokeo mengine katika mechi za Jumanne usiku, Manchester United wakiwa kwenye uwanja wao wa Old Trafford, wameicharaza Stoke City mabao 2-1. Burnley imetoka sare ya kufungana bao 1-1 na Newcastle, Swansea wameitandika QPR magoli 2-0, Crystal Palace wamepoteza katika uwanja wao kwa kucharazwa goli 1-0 na Aston Villa. Nayo West Brom imepoteza kwa kufungwa 2-1 na West Ham.
Katika mechi za leo usiku, Arsenal watapepetana na Southampton katika uwanja wa Emirates, Chelsea vinara wa ligi watakuwa wenyeji wa Tottenham, huku Everton wakiikaribisha Hull City. Na Machester City inayoshika nafasi ya pili kwa kujikusanyia pointi 27 watataka kujiimarisha na kupunguza pengo la pointi sita kati yake na Chelsea, pale watakapomenyana na wenyeji wao Sunderland.

Share this article :
Tweet
✚
Newer Post
Older Post
Home

HABARI ZILIZO BAMBA TOP 10

  • Lorna Rutto is an entrepreneur who founded Ecopost, a Nairobi-based company that recycles plastic waste
    Lorna Rutto is an entrepreneur who founded Ecopost, a Nairobi-based company that recycles plastic waste. As part of the latest series o...
  • After more than two years of tension over a territorial row,the leaders of China and Japan hold formal talks on the sidelines of a major Asian summit.
    Chinese President Xi Jinping and Japanese PM Shinzo Abe met on the sidelines of the Asia-Pacific Economic Co-operation (Apec) summit in B...
  • The poorest president, Jose Mujica gets $1m offer for his VW Beetle
    7 November 2014 Last updated at 07:04 GMT Uruguay's President Jose Mujica says he has been offered $1m (£630,000) for his vinta...
  • Report says,Fossil fuel promises are being broken,World governments have been breaking promises to phase out subsidies for fossil fuels, a report says.
    The report said G20 nations had been spending almost $90bn a year on finding more oil, g...
  • Wabunge wa Somali wameng'oa waziri mkuu
    Ni mara ya nne kwamba kura ya kutokuwa na imani dhidi yake ilipigwa baada ya majaribio ya awali kumalizika kwa ghasia. Waandishi ...
  • AJIITA KIJANA MWENYE BAHATI AKIWA KATIKATI YA WAREMBO WAWILI
  • John Doar, a civil rights lawyer who was a key figure in the struggle against racial segregation in the US, has died aged 92.
    John Doar was awarded the Presidential Medal of Freedom in 2012 Mr Doar dealt with some of the most prominent civil rights ca...
  • Ukweli kuhusu umoja wa fedha,Jumuiya ya Afrika Mashariki.
      OKTOBA 20 hadi 24 mwaka  huu, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) iliandaa semi...
  • BRAZIL TO EDGE OUT GERMANY IN WORLD CUP SEMI FINAL
  • Kiungo mpya wa Azam, Amri Kiemba akiwa katika jezi ya timu hiyo kwenye Uwanja wa Chamazi, Dar es Salaam jana
       Klabu ya Yanga imemleta nchini kwa majaribio mshambuliaji raia wa Zambia, Jonas Sakuwaha ...

LABELS

  • Breaking News
  • condolonces
  • Entertainment
  • Entertainments
  • Habari
  • Majonzi
  • Michezo
  • News
  • News and Updates
  • Skendo
  • Sports and Games
Submit ExpressSEO Services & Tools

Total Pageviews

Copyright 2014 Mwanafalsafa
Template By Ridwan Hex And Game Gratis