Mwanafalsafa

  • HOME
Home → Michezo → Leicester yachezea kichapo cha goli 3 kwa 1 kutoka kwa Liverpool janam usiku

Leicester yachezea kichapo cha goli 3 kwa 1 kutoka kwa Liverpool janam usiku

Michezo
Thursday, 4 December 2014



Steven Gerrard akishangilia goli na wachezaji wenzake wa timu ya Liverpool, walipowalaza Leicester 3-1
Ligi ya kuu ya England iliendelea jana usiku katika viwanja mbali mbali. Leicester inayoburuza mkia katika ligi hiyo ikiwa na pointi 10 katika michezo 14 iliyocheza waliikaribisha Liverpool ambayo iliibuka na u
shindi wa magoli 3-1 katika mechi hiyo. Hadi kumalizikakwa kipindi cha kwanza timu hizo zilikuwa zimefungana goli 1-1. Kwa matokeo hayo Liverpool imeshika nafasi ya 8 nyuma ya Asernal , zote zikiwa na pointi 20. Hata hivyo Asernal imecheza mchezo mmoja pungufu ya Liverpool yenye mechi 14 ilizokwishacheza.
Matokeo mengine katika mechi za Jumanne usiku, Manchester United wakiwa kwenye uwanja wao wa Old Trafford, wameicharaza Stoke City mabao 2-1. Burnley imetoka sare ya kufungana bao 1-1 na Newcastle, Swansea wameitandika QPR magoli 2-0, Crystal Palace wamepoteza katika uwanja wao kwa kucharazwa goli 1-0 na Aston Villa. Nayo West Brom imepoteza kwa kufungwa 2-1 na West Ham.
Katika mechi za leo usiku, Arsenal watapepetana na Southampton katika uwanja wa Emirates, Chelsea vinara wa ligi watakuwa wenyeji wa Tottenham, huku Everton wakiikaribisha Hull City. Na Machester City inayoshika nafasi ya pili kwa kujikusanyia pointi 27 watataka kujiimarisha na kupunguza pengo la pointi sita kati yake na Chelsea, pale watakapomenyana na wenyeji wao Sunderland.

Share this article :
Tweet
✚
Newer Post
Older Post
Home

HABARI ZILIZO BAMBA TOP 10

  • MAREKANI YAITUPIA LAWAMA KOREA KASKAZINI
    Marekani inatarajia kuirudisha Korea kaskazini katika orodha ya nchi zinazofadhili ugaidi. Rais Barack Obama wa Marekani amesema utawala ...
  • MKUU wa Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, Evarista Kalalu, awashauri wananchi kujiunga na mfuko wa afya ya jamii
    MKUU wa Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, Evarista Kalalu, amewashauri wananchi wa vijiji vya Ukami na Chogo Kata ya Mapanda wilayani hapa...
  • KAULI YA UHURU KWENYE MTANDAOWA KIJAMII (TWITTER) KENYATTA HII HAPA
    Taarifa ya mahakama ya ICC, kutupilia mbali kesi dhidi ya Uhuru Kenyatta, imepokelwa na watu wengi nchini Kenya kwa hisia mseto. Baadhi w...
  • HAYA NDIO MAZITO ALIYO FUNGUKA YULE MSICHANA WA KAZI ALIYE MPIGA MTOTO
    Baada ya story ya yule msichana kwa anayefanya kazi za ndani Uganda kuchukua headlines katika vyombo mbalimbali vya Kimataifa Dun...
  • Ronaldo aosha vyombo baada ya kushindwa katika karata na mchezaji wa Tenisi Rafa Nadal
    Ali...
  • Wayne Goss, former premier of Queensland, kicked the bucket at 63
    Mr Goss, who was premier from 1989 to 1996, had suffered from ill health in recent years including brain tumours. He became Q...
  • IT 'S MATTER OF FEW MINUTES FOR WORLD CUP 2014 START SHINNING !!!!
    The World Cup  The 2014  Brazil™ is now just a matter of minutes away and to mark the occasion FIFA have launched an updated version of th...

LABELS

  • Breaking News
  • condolonces
  • Entertainment
  • Entertainments
  • Habari
  • Majonzi
  • Michezo
  • News
  • News and Updates
  • Skendo
  • Sports and Games
Submit ExpressSEO Services & Tools

Total Pageviews

Copyright 2014 Mwanafalsafa
Template By Ridwan Hex And Game Gratis