Mwanafalsafa

  • HOME
Home → Michezo → Arsenal yamlenga Kramer anaechezea klabu ya Borussia Monchengladbach

Arsenal yamlenga Kramer anaechezea klabu ya Borussia Monchengladbach

Michezo
Thursday, 4 December 2014
Arsenal wako tayari kutoa pauni milion 20 kumsajili kiungo wa timu ya taifa ya ujerumani Christoph Kramer, 23, anayechezea timu ya Borussia Monchengladbach, iwapo watamkosa nyota Sami Khedira wa Real Madrid.
Kocha wa PSG Laurent Blanc, anampango wa kumchukua mshambuliaji Thierry Henry, Kwa kumpa kandarasi ya muda mfupi.
Galatasaray nao wanawania saini mchezaji hiyo wa zamani wa Arsenal.
Liverpool watatoa ofa ya £25 kumpata kipa wa Fiorentina Neto, ili kuwa mbadala wa Simon Mignolet.
Mshambuliaji Lukas Podolski, 29, anaangalia uwezekano wa kuondoka arsenal mwezi januari na kurejea katika timu yake ya zamani FC Koln .
Inter Milan imeungana na Leicester City, Newcastle katika mbio za kumuwania mshambuliaji Luciano Vietto wa Villarreal.
Kiungo wa brazil Paulinho, 26, anatarajia kurejea nchini Brazil katika klabu ya Sao Paulo au Corinthians.
Boss wa Everton Roberto Martinez amekana kuwepo kwa makubaliano ya mkataba wa kumuuza kiungo James McCarthy 24, kwenda kwa washika bunduki wa London Arsenal.

Share this article :
Tweet
✚
Newer Post
Older Post
Home

HABARI ZILIZO BAMBA TOP 10

  • MAREKANI YAITUPIA LAWAMA KOREA KASKAZINI
    Marekani inatarajia kuirudisha Korea kaskazini katika orodha ya nchi zinazofadhili ugaidi. Rais Barack Obama wa Marekani amesema utawala ...
  • MKUU wa Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, Evarista Kalalu, awashauri wananchi kujiunga na mfuko wa afya ya jamii
    MKUU wa Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, Evarista Kalalu, amewashauri wananchi wa vijiji vya Ukami na Chogo Kata ya Mapanda wilayani hapa...
  • KAULI YA UHURU KWENYE MTANDAOWA KIJAMII (TWITTER) KENYATTA HII HAPA
    Taarifa ya mahakama ya ICC, kutupilia mbali kesi dhidi ya Uhuru Kenyatta, imepokelwa na watu wengi nchini Kenya kwa hisia mseto. Baadhi w...
  • HAYA NDIO MAZITO ALIYO FUNGUKA YULE MSICHANA WA KAZI ALIYE MPIGA MTOTO
    Baada ya story ya yule msichana kwa anayefanya kazi za ndani Uganda kuchukua headlines katika vyombo mbalimbali vya Kimataifa Dun...
  • Ronaldo aosha vyombo baada ya kushindwa katika karata na mchezaji wa Tenisi Rafa Nadal
    Ali...
  • Wayne Goss, former premier of Queensland, kicked the bucket at 63
    Mr Goss, who was premier from 1989 to 1996, had suffered from ill health in recent years including brain tumours. He became Q...
  • IT 'S MATTER OF FEW MINUTES FOR WORLD CUP 2014 START SHINNING !!!!
    The World Cup  The 2014  Brazil™ is now just a matter of minutes away and to mark the occasion FIFA have launched an updated version of th...

LABELS

  • Breaking News
  • condolonces
  • Entertainment
  • Entertainments
  • Habari
  • Majonzi
  • Michezo
  • News
  • News and Updates
  • Skendo
  • Sports and Games
Submit ExpressSEO Services & Tools

Total Pageviews

Copyright 2014 Mwanafalsafa
Template By Ridwan Hex And Game Gratis