Mwanafalsafa

  • HOME
Home → Michezo → Arsenal yamlenga Kramer anaechezea klabu ya Borussia Monchengladbach

Arsenal yamlenga Kramer anaechezea klabu ya Borussia Monchengladbach

Michezo
Thursday, 4 December 2014
Arsenal wako tayari kutoa pauni milion 20 kumsajili kiungo wa timu ya taifa ya ujerumani Christoph Kramer, 23, anayechezea timu ya Borussia Monchengladbach, iwapo watamkosa nyota Sami Khedira wa Real Madrid.
Kocha wa PSG Laurent Blanc, anampango wa kumchukua mshambuliaji Thierry Henry, Kwa kumpa kandarasi ya muda mfupi.
Galatasaray nao wanawania saini mchezaji hiyo wa zamani wa Arsenal.
Liverpool watatoa ofa ya £25 kumpata kipa wa Fiorentina Neto, ili kuwa mbadala wa Simon Mignolet.
Mshambuliaji Lukas Podolski, 29, anaangalia uwezekano wa kuondoka arsenal mwezi januari na kurejea katika timu yake ya zamani FC Koln .
Inter Milan imeungana na Leicester City, Newcastle katika mbio za kumuwania mshambuliaji Luciano Vietto wa Villarreal.
Kiungo wa brazil Paulinho, 26, anatarajia kurejea nchini Brazil katika klabu ya Sao Paulo au Corinthians.
Boss wa Everton Roberto Martinez amekana kuwepo kwa makubaliano ya mkataba wa kumuuza kiungo James McCarthy 24, kwenda kwa washika bunduki wa London Arsenal.

Share this article :
Tweet
✚
Newer Post
Older Post
Home

HABARI ZILIZO BAMBA TOP 10

  • SIMBA Vs EXPRESS YA UGANDA ,0-0 LEO UWANJA WA TAIFA
    Katongole Henry akimtoka mshambulia wa Simba, Ramadhani Singano 'Mess'. Kipa wa The Express, Mutumba Ivan akir...
  • AKOTHEE Takes Her Beautiful Daughters TO FLY OVER ! look at these beautiful photos.
  • MAREKANI YAITUPIA LAWAMA KOREA KASKAZINI
    Marekani inatarajia kuirudisha Korea kaskazini katika orodha ya nchi zinazofadhili ugaidi. Rais Barack Obama wa Marekani amesema utawala ...
  • Mamboya whatsapp haya hapa.!!!!! (18+)
  • APIGWA MVUA YA MIAKA 60 JELA, KWA KUTOROSHA TWIGA
    HATIMAYE Mahakama ya hakimu mkazi Moshi, mkoani Kilimanjaro, imemhukumu miaka 60 jela, Kamran Ahmed, raia wa Pakistani kwa kosa la kutoro...
  • TEKNOLOGIA:GARI LINALOWEZA KUPAKI LENYEWE KWA KUTUMIA SAA YA SMARTPHONE BILA KUWA NA DEREVA NDANI..
    Kampuni ya BMW imezindua kifaa ambacho kinawezesha gari lako kujiegesha lenyewe.. Hakuna kitu kibaya kama kusahau ulikoegesha gari lako ka...
  • Spotify's chief executive has defended its business model, saying it has paid out $2bn (£1.2bn) to the music industry to date.
      Daniel Ek pitches Spotify as a more lucrative alternative to piracy Daniel Ek's lengthy blog post follows a high profil...
  • Mombasa based singer akothee gets naughty,Angalia hapa
  • Vita dhidi ya Ukimwi zashika kasi, mbinu madhubuti zachukuliwa !
    DESEMBA mosi, kila mwaka, watu wote duniani huadhimisha Siku ya Ukimwi Duniani. Siku hiyo ilianzishwa mwaka 1987 na hubeba maudhui mbalim...
  • ,Juncker reveals giant EU investment planJuncker said Europe needed a kick-start and the Commission was offering the jump-leads
    Mr  European Commission President Jean-Claude Juncker has given details of a €315bn (£250bn;$393bn) investment plan to kic...

LABELS

  • Breaking News
  • condolonces
  • Entertainment
  • Entertainments
  • Habari
  • Majonzi
  • Michezo
  • News
  • News and Updates
  • Skendo
  • Sports and Games
Submit ExpressSEO Services & Tools

Total Pageviews

Copyright 2014 Mwanafalsafa
Template By Ridwan Hex And Game Gratis