Mwanafalsafa

  • HOME
Home → Tanpa Kategori → Kijue kikombe cha umeme chenye uwezo wa kukuonyesha kama una kiu..na kupima aina ya kinywaji unachokunywa..!!

Kijue kikombe cha umeme chenye uwezo wa kukuonyesha kama una kiu..na kupima aina ya kinywaji unachokunywa..!!

Monday, 8 December 2014
Watengezaji wa kikombe hiki wanakiita Vessly, kitaanza kuuzwa mwakani na kitapatikana kwa kiasi cha dola 99 tu.

 cup 
Haya ndiyo maendeleo ya kiteknolojia ambapo unaambiwa hiki kikombe kina uwezo wa kupima cafeine kutoka iliyopo kwenye kinywaji unachokunywa, pamoja na kitu kingine chochote ambacho kimo ndani ya kinywaji hicho hata kama ni kilevi, iwapo ukanywa halafu ukashusha kikombe chini na una kiu bado kinakupa ishara kwamba unatakiwa unywe tena kinyaji unachokunywa.
Kikombe hicho kinatumia app maalum ambapo unaweza kukifanyia sync kupitia Bluetooth, iPhone Operating System na Android app, unaweza kukichaji kwa Wireless, kina uwezo wa kukaa na chaji kwa muda wa siku tano mpaka siku saba na kinaweza kuingia chupa moja ya soda ya kawaida.

Share this article :
Tweet
✚
Newer Post
Older Post
Home

HABARI ZILIZO BAMBA TOP 10

  • Lorna Rutto is an entrepreneur who founded Ecopost, a Nairobi-based company that recycles plastic waste
    Lorna Rutto is an entrepreneur who founded Ecopost, a Nairobi-based company that recycles plastic waste. As part of the latest series o...
  • Ajali ya gari huko south B kenya
    There was a bizarre accident today morning in Hazina Estate, South B involving a Range Rover that crashed into 7 vehicles. The Ran...
  • Jennifer Lawrence has joined her castmates at the world premiere of the penultimate Hunger Games movie, Mockingjay Part 1, in London.
    Lawrence plays the heroine Katniss Everdeen in the hit franchise Jennifer Lawrence has joined her castmates at the w...
  • Catalonia's regional president Artur Mas says an official referendum is needed following Catalonia vote: 80% back independence - officials
    \ An informal vote on independence for Catalonia has shown more than 80% in favour, officials say. The non-binding vote went ahead after ...
  • After more than two years of tension over a territorial row,the leaders of China and Japan hold formal talks on the sidelines of a major Asian summit.
    Chinese President Xi Jinping and Japanese PM Shinzo Abe met on the sidelines of the Asia-Pacific Economic Co-operation (Apec) summit in B...
  • MAREKANI YAITUPIA LAWAMA KOREA KASKAZINI
    Marekani inatarajia kuirudisha Korea kaskazini katika orodha ya nchi zinazofadhili ugaidi. Rais Barack Obama wa Marekani amesema utawala ...
  • The poorest president, Jose Mujica gets $1m offer for his VW Beetle
    7 November 2014 Last updated at 07:04 GMT Uruguay's President Jose Mujica says he has been offered $1m (£630,000) for his vinta...
  • Report says,Fossil fuel promises are being broken,World governments have been breaking promises to phase out subsidies for fossil fuels, a report says.
    The report said G20 nations had been spending almost $90bn a year on finding more oil, g...
  • Wabunge wa Somali wameng'oa waziri mkuu
    Ni mara ya nne kwamba kura ya kutokuwa na imani dhidi yake ilipigwa baada ya majaribio ya awali kumalizika kwa ghasia. Waandishi ...
  • AJIITA KIJANA MWENYE BAHATI AKIWA KATIKATI YA WAREMBO WAWILI

LABELS

  • Breaking News
  • condolonces
  • Entertainment
  • Entertainments
  • Habari
  • Majonzi
  • Michezo
  • News
  • News and Updates
  • Skendo
  • Sports and Games
Submit ExpressSEO Services & Tools

Total Pageviews

Copyright 2014 Mwanafalsafa
Template By Ridwan Hex And Game Gratis