Mwanafalsafa

  • HOME
Home → Tanpa Kategori → ALAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MUMEWE ALIYEFARIKI

ALAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MUMEWE ALIYEFARIKI

Wednesday, 17 December 2014
Alazimishwa kufanya mapenzi na mumewe aliyekufa


Mwanamke mmoja ambaye jina lake kamili ni Sarah Simirayi amelazimishwa kufanya mapenzi na mumewe
ikiwa ni adhabu ya kumkimbia mumewe ambaye alikuwa tayari kafariki ,ambapo alikuwa amehifadhiwa kwenye chumba cha kuhifadhia maiti yaani mochwari.

Sarah ambaye kipindi cha nyuma alimwacha mumewe baada ya kupata mpenzi wake mpya, ila baada ya mabo kuharika sarah aliamua kurudi kwa mumewe lakin kutoka na uzee alikuwa nao alifariki ghafla akiwa na miaka 68.

Mwanamke huyo ambae ni raia kutoka Zimbabwe, mumewe baada ya kufariki aliacha wosia ambao alitaka usomwe kabla hajazikwa amabapo ndani yake kulikuwa kuna maneno yenye huzuni kubwa aliyoyandika mwanaume enzi za uhai wake ambapo moja kati ya sababu aliyoitaja alisema 

"Hata nikifa kesho mke wangu ndie aliniua kutokana na kuniumiza kwenye mapenzi, hivyo akirudi naomba aje afanye mapenzi mara ya mwisho na mim kabla sijazikwa"

Baada ya sarah kusikia hivyoa aligoma kabisa kutokana na kwamba mumewe alikuwa tayari amesha kufa haelewi kinachoendelea huku duniani lakin baada kutokana shinikizo la ndugu wa marehemu mwanamke huyo alikubali kufanya mapenzi na marehemu mume wake.


Share this article :
Tweet
✚
Newer Post
Older Post
Home

HABARI ZILIZO BAMBA TOP 10

  • MAREKANI YAITUPIA LAWAMA KOREA KASKAZINI
    Marekani inatarajia kuirudisha Korea kaskazini katika orodha ya nchi zinazofadhili ugaidi. Rais Barack Obama wa Marekani amesema utawala ...
  • Mombasa based singer akothee gets naughty,Angalia hapa
  • Vita dhidi ya Ukimwi zashika kasi, mbinu madhubuti zachukuliwa !
    DESEMBA mosi, kila mwaka, watu wote duniani huadhimisha Siku ya Ukimwi Duniani. Siku hiyo ilianzishwa mwaka 1987 na hubeba maudhui mbalim...
  • ,Juncker reveals giant EU investment planJuncker said Europe needed a kick-start and the Commission was offering the jump-leads
    Mr  European Commission President Jean-Claude Juncker has given details of a €315bn (£250bn;$393bn) investment plan to kic...
  • Kwaninii serikali imewekeza katika siasa na imesahau wakulima ?
      Hata hivyo, wakulima wamekwazwa na kodi nyingi wanazotozwa kwa kila gunia inapotokea wakauza sehemu ya ...
  • Mdogo wa Zari Hassan apaka matope uhusiano wake na Diamond
    Mdogo wake na Zari Hassan aka The Bosslady, aitwaye Karim ametumia Facebook kumkosoa dada yake kwa kuwa na uhusiano na Diamond Platnumz amb...
  • DAVIDO,TIWA SWAGE,DIAMOND, MR.FLAVOUR ON THE SHOOT,CHECK THE NEW VIDEO HERE
    Africa MultiChoice has launched it’s biggest  campaign yet, to celebrate Africa’s positivity , successes and the ability to  te...
  • Wayne Goss, former premier of Queensland, kicked the bucket at 63
    Mr Goss, who was premier from 1989 to 1996, had suffered from ill health in recent years including brain tumours. He became Q...
  • Third death confirmed in Mali The Pasteur Clinic in Bamako has been placed in quarantine and is under armed guard
      A nurse and the patient he was treating have become the second and third people to die from Ebola in Mali. The patient,...
  • The poorest president, Jose Mujica gets $1m offer for his VW Beetle
    7 November 2014 Last updated at 07:04 GMT Uruguay's President Jose Mujica says he has been offered $1m (£630,000) for his vinta...

LABELS

  • Breaking News
  • condolonces
  • Entertainment
  • Entertainments
  • Habari
  • Majonzi
  • Michezo
  • News
  • News and Updates
  • Skendo
  • Sports and Games
Submit ExpressSEO Services & Tools

Total Pageviews

Copyright 2014 Mwanafalsafa
Template By Ridwan Hex And Game Gratis