Mwanafalsafa

  • HOME
Home → Tanpa Kategori → ALAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MUMEWE ALIYEFARIKI

ALAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MUMEWE ALIYEFARIKI

Wednesday, 17 December 2014
Alazimishwa kufanya mapenzi na mumewe aliyekufa


Mwanamke mmoja ambaye jina lake kamili ni Sarah Simirayi amelazimishwa kufanya mapenzi na mumewe
ikiwa ni adhabu ya kumkimbia mumewe ambaye alikuwa tayari kafariki ,ambapo alikuwa amehifadhiwa kwenye chumba cha kuhifadhia maiti yaani mochwari.

Sarah ambaye kipindi cha nyuma alimwacha mumewe baada ya kupata mpenzi wake mpya, ila baada ya mabo kuharika sarah aliamua kurudi kwa mumewe lakin kutoka na uzee alikuwa nao alifariki ghafla akiwa na miaka 68.

Mwanamke huyo ambae ni raia kutoka Zimbabwe, mumewe baada ya kufariki aliacha wosia ambao alitaka usomwe kabla hajazikwa amabapo ndani yake kulikuwa kuna maneno yenye huzuni kubwa aliyoyandika mwanaume enzi za uhai wake ambapo moja kati ya sababu aliyoitaja alisema 

"Hata nikifa kesho mke wangu ndie aliniua kutokana na kuniumiza kwenye mapenzi, hivyo akirudi naomba aje afanye mapenzi mara ya mwisho na mim kabla sijazikwa"

Baada ya sarah kusikia hivyoa aligoma kabisa kutokana na kwamba mumewe alikuwa tayari amesha kufa haelewi kinachoendelea huku duniani lakin baada kutokana shinikizo la ndugu wa marehemu mwanamke huyo alikubali kufanya mapenzi na marehemu mume wake.


Share this article :
Tweet
✚
Newer Post
Older Post
Home

HABARI ZILIZO BAMBA TOP 10

  • Lorna Rutto is an entrepreneur who founded Ecopost, a Nairobi-based company that recycles plastic waste
    Lorna Rutto is an entrepreneur who founded Ecopost, a Nairobi-based company that recycles plastic waste. As part of the latest series o...
  • Wabunge wa Somali wameng'oa waziri mkuu
    Ni mara ya nne kwamba kura ya kutokuwa na imani dhidi yake ilipigwa baada ya majaribio ya awali kumalizika kwa ghasia. Waandishi ...
  • AJIITA KIJANA MWENYE BAHATI AKIWA KATIKATI YA WAREMBO WAWILI
  • John Doar, a civil rights lawyer who was a key figure in the struggle against racial segregation in the US, has died aged 92.
    John Doar was awarded the Presidential Medal of Freedom in 2012 Mr Doar dealt with some of the most prominent civil rights ca...
  • Ukweli kuhusu umoja wa fedha,Jumuiya ya Afrika Mashariki.
      OKTOBA 20 hadi 24 mwaka  huu, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) iliandaa semi...
  • BRAZIL TO EDGE OUT GERMANY IN WORLD CUP SEMI FINAL
  • Chuo kikuu cha ardhi ARU chatoa zawadi kwa wanafunzi 30, mmoja, ambae ni muhitimu wa masomo ya surveying aibuka na machine ya millioni 35
    CHUO Kikuu Ardhi (ARU), kimewazawadia wanafuzi 130 wa masomo mbalimbali zawadi zenye thamani ya zaidi ya sh milioni 60 kutokana n...
  • Ajali ya gari huko south B kenya
    There was a bizarre accident today morning in Hazina Estate, South B involving a Range Rover that crashed into 7 vehicles. The Ran...
  • Jennifer Lawrence has joined her castmates at the world premiere of the penultimate Hunger Games movie, Mockingjay Part 1, in London.
    Lawrence plays the heroine Katniss Everdeen in the hit franchise Jennifer Lawrence has joined her castmates at the w...
  • Arsenal yamlenga Kramer anaechezea klabu ya Borussia Monchengladbach
    Arsenal wako tayari kutoa p...

LABELS

  • Breaking News
  • condolonces
  • Entertainment
  • Entertainments
  • Habari
  • Majonzi
  • Michezo
  • News
  • News and Updates
  • Skendo
  • Sports and Games
Submit ExpressSEO Services & Tools

Total Pageviews

Copyright 2014 Mwanafalsafa
Template By Ridwan Hex And Game Gratis