Mwanafalsafa

  • HOME
Home → Tanpa Kategori → ALAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MUMEWE ALIYEFARIKI

ALAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MUMEWE ALIYEFARIKI

Wednesday, 17 December 2014
Alazimishwa kufanya mapenzi na mumewe aliyekufa


Mwanamke mmoja ambaye jina lake kamili ni Sarah Simirayi amelazimishwa kufanya mapenzi na mumewe
ikiwa ni adhabu ya kumkimbia mumewe ambaye alikuwa tayari kafariki ,ambapo alikuwa amehifadhiwa kwenye chumba cha kuhifadhia maiti yaani mochwari.

Sarah ambaye kipindi cha nyuma alimwacha mumewe baada ya kupata mpenzi wake mpya, ila baada ya mabo kuharika sarah aliamua kurudi kwa mumewe lakin kutoka na uzee alikuwa nao alifariki ghafla akiwa na miaka 68.

Mwanamke huyo ambae ni raia kutoka Zimbabwe, mumewe baada ya kufariki aliacha wosia ambao alitaka usomwe kabla hajazikwa amabapo ndani yake kulikuwa kuna maneno yenye huzuni kubwa aliyoyandika mwanaume enzi za uhai wake ambapo moja kati ya sababu aliyoitaja alisema 

"Hata nikifa kesho mke wangu ndie aliniua kutokana na kuniumiza kwenye mapenzi, hivyo akirudi naomba aje afanye mapenzi mara ya mwisho na mim kabla sijazikwa"

Baada ya sarah kusikia hivyoa aligoma kabisa kutokana na kwamba mumewe alikuwa tayari amesha kufa haelewi kinachoendelea huku duniani lakin baada kutokana shinikizo la ndugu wa marehemu mwanamke huyo alikubali kufanya mapenzi na marehemu mume wake.


Share this article :
Tweet
✚
Newer Post
Older Post
Home

HABARI ZILIZO BAMBA TOP 10

  • BRAZIL TO EDGE OUT GERMANY IN WORLD CUP SEMI FINAL
  • KAULI YA UHURU KWENYE MTANDAOWA KIJAMII (TWITTER) KENYATTA HII HAPA
    Taarifa ya mahakama ya ICC, kutupilia mbali kesi dhidi ya Uhuru Kenyatta, imepokelwa na watu wengi nchini Kenya kwa hisia mseto. Baadhi w...
  • Catalonia's regional president Artur Mas says an official referendum is needed following Catalonia vote: 80% back independence - officials
    \ An informal vote on independence for Catalonia has shown more than 80% in favour, officials say. The non-binding vote went ahead after ...
  • Ukistaajabu ya Mussa ?Nusu ya sura yake inafanana na binadamu na Nusu nyingine inafanana na CHURA, ni mtoto aliye zaliwa huko dodoma
    MKAZI  wa kijiji cha Chibwechangula –Behelo katika wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, Ruth Matonya (26) amejifungua mtoto wa ajabu ambaye nus...
  • MASKINI MSUSI WA NYWELE AKUTWA AMEKUFA GESTI ,FUATILIA KUJUA ZAIDI
    Askari polisi pamoja na baadhi ya viongozi wa Serikali ya mtaa kata ya Gongoni manispaa ya Tabora akiangalia mwili wa mwanaume ...
  • Kafulila ampendekeza Dk.slaa kuwa mgombea urais UKAWA, Gazeti la mwananchi leo juma tatu
  • In long, dimly lit hallways, clusters of people wait anxiously outside courtrooms for their cases to come before a judge.
    The New York Immigration Court is an extraordinarily busy place. In long, dimly lit hallways, clusters of people wait anxiously outside co...
  • ZITHO "SHARTI MOJA , NARYDI CHADEMA"
    MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), amesema kuwa mwanasiasa yeyote makini kutoka vyama vya upinzani mwenye dhamira ya ku...
  • The New York clinic where Joan Rivers suffered a cardiac arrest during a medical procedure failed to follow standard protocols while treating her.Clinic cited for multiple failings
    Joan Rivers had been sedated during the procedure examining the back of her throat The comedian died on 4 September, aged 81,...
  • IT 'S MATTER OF FEW MINUTES FOR WORLD CUP 2014 START SHINNING !!!!
    The World Cup  The 2014  Brazil™ is now just a matter of minutes away and to mark the occasion FIFA have launched an updated version of th...

LABELS

  • Breaking News
  • condolonces
  • Entertainment
  • Entertainments
  • Habari
  • Majonzi
  • Michezo
  • News
  • News and Updates
  • Skendo
  • Sports and Games
Submit ExpressSEO Services & Tools

Total Pageviews

Copyright 2014 Mwanafalsafa
Template By Ridwan Hex And Game Gratis