Mwanafalsafa

  • HOME
Home → Habari → Wanafunzi zaidi ya 20 kwenda Zanzibar kuhadhimisha siku ya Anga.

Wanafunzi zaidi ya 20 kwenda Zanzibar kuhadhimisha siku ya Anga.

Habari
Friday, 5 December 2014
MWENYEKITI wa Kamati ya Maandalizi siku ya Usafiri wa Anga, Mtesigwa Maugo amesema wamewawezesha wanafunzi 20 kutoka shule tofauti za msingi jijini hapa kwenda Zanzibar kutembea wakati wa maadhimisho ya siku hiyo.
Akizungumza na Tanzania Daima kwenye maonesho ya wiki ya usafiri wa anga inayofikia kilele chake Desemba 7, Maugo alisema wanafunzi hao waliondoka kwa ndege ya kukodi yenye namba za usajili 5H-TGF.
Alisema safari hiyo inalenga kuwahamasisha wanafunzi kupenda masomo ya sayansi yatakayowasaidia kuingia katika utaalam wa masuala ya usafiri wa anga.
“Nimefurahi kuona watoto wa kike wengi wanafanya vizuri katika masomo ya sayansi nao wapo kwenye safari hiyo,” alisisitiza Maugo.
Alitaja shule za msingi walizotoka wanafunzi hao kuwa ni Tungi iliyopo Kigamboni, Juhudi iliyopo Ilala na kituo cha kulea yatima kilichopo Kinondoni huku akisisitiza kwamba uchaguzi wao umegusa wilaya zote tatu za jiji hili.

Share this article :
Tweet
✚
Newer Post
Older Post
Home

HABARI ZILIZO BAMBA TOP 10

  • MAREKANI YAITUPIA LAWAMA KOREA KASKAZINI
    Marekani inatarajia kuirudisha Korea kaskazini katika orodha ya nchi zinazofadhili ugaidi. Rais Barack Obama wa Marekani amesema utawala ...
  • MKUU wa Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, Evarista Kalalu, awashauri wananchi kujiunga na mfuko wa afya ya jamii
    MKUU wa Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, Evarista Kalalu, amewashauri wananchi wa vijiji vya Ukami na Chogo Kata ya Mapanda wilayani hapa...
  • KAULI YA UHURU KWENYE MTANDAOWA KIJAMII (TWITTER) KENYATTA HII HAPA
    Taarifa ya mahakama ya ICC, kutupilia mbali kesi dhidi ya Uhuru Kenyatta, imepokelwa na watu wengi nchini Kenya kwa hisia mseto. Baadhi w...
  • HAYA NDIO MAZITO ALIYO FUNGUKA YULE MSICHANA WA KAZI ALIYE MPIGA MTOTO
    Baada ya story ya yule msichana kwa anayefanya kazi za ndani Uganda kuchukua headlines katika vyombo mbalimbali vya Kimataifa Dun...
  • Ronaldo aosha vyombo baada ya kushindwa katika karata na mchezaji wa Tenisi Rafa Nadal
    Ali...
  • Wayne Goss, former premier of Queensland, kicked the bucket at 63
    Mr Goss, who was premier from 1989 to 1996, had suffered from ill health in recent years including brain tumours. He became Q...
  • IT 'S MATTER OF FEW MINUTES FOR WORLD CUP 2014 START SHINNING !!!!
    The World Cup  The 2014  Brazil™ is now just a matter of minutes away and to mark the occasion FIFA have launched an updated version of th...

LABELS

  • Breaking News
  • condolonces
  • Entertainment
  • Entertainments
  • Habari
  • Majonzi
  • Michezo
  • News
  • News and Updates
  • Skendo
  • Sports and Games
Submit ExpressSEO Services & Tools

Total Pageviews

Copyright 2014 Mwanafalsafa
Template By Ridwan Hex And Game Gratis