Mwanafalsafa

  • HOME
Home → Habari → Polisi waliojihami wanaendelea kushika doria katika barabara za mji wa Mombasa.

Polisi waliojihami wanaendelea kushika doria katika barabara za mji wa Mombasa.

Habari
Friday, 21 November 2014

        


Polisin wakidhibiti ulinzi Mombasa
Polisi waliojihami wanaendelea kushika doria katika barabara za mji wa Mombasa Pwani ya Kenya hata baada ya maombi ya Ijumaa
Hii ni baada ya vurugu kati ya polisi hao na vijana baada ya kufanya msako katika baadi ya msikiti mjini humo.
Misikiti ambayo ilifanyiwa msako ambako inaaminika mafunzo ya itikadi kali za kidini inafanyika, ni Swafaa na Minaa.
Polisi wanadai kuwa misikiti hii hutoa mafunzo ya itikadi kali ikilenga kuwaunga mkono wapiganaji wa kiisilamu nchini Somalia Al Shabaab.

Polisi wanadai kuwa walinasa bendera hii na silaha zingine katika miskiti iliyofanyiwa msako
Vijana waliojaribu kuingia katika msikiti wa Swafaa kwa maombi ya usiku, walikabiliwa na maafisa wa usalama.
Kwa siku nne zilizopita, kumekuwa na hali ya taharuki katika mtaa wa Kisauni baada ya polisi kudfanya msako katika msikiti ya Swafaa na Minaa katika juhudi za kupambana na vijana wenye itikadi kali za kidini na magenge ya vijana wanaowahangaisha wakazi.
Polisi walinasa silaha na vifaa vya kulipua mabomu katika msako huo ulioanza Jumatatu huku zaidi ya watu 100 wakikamatwa kwa madai kuwa walikuwa wanapokea mafunzo ya itikadi kali za kidini huku wakijiandaa kujiunga na kundi la Al shabaab.
Polisi hawajawaruhusu watu kuingia katika misikiti hiyo, na polisi wanasema yeyote atakayekwenda kinyume ya hilo, atakabiliwa na tisho la kupigwa risasi.

Share this article :
Tweet
✚
Newer Post
Older Post
Home

HABARI ZILIZO BAMBA TOP 10

  • Umuhimu wa kushirikiana katika kazi hasa ya muziki
  • Wiki hii katika mtandao wa kijamii, whatsapp , Ni sheedah cheki picha kali hapa chini !
  • Mwanasheria mkuu wa serikali nchini Mexico, Jesus Murillo Karam,ametoa ahadi kuwa hakutakuwa na uonevu wowote katika kesi ya kupotea kwa wanafunzi nchi humo miezi miwili iliyopita
    . Kutoweka kwa wanafunzi hao kumesababisha maandamano ya wiki kadhaa nchini humo waandamanaji wakipinda rushwa na ukatili...
  • Ni majonzi makubwa Tazama picha za wana familia za wachimba machimbo ya kokoto waliouawa na Al Shabaab mjini Mandera
    Familia za wachimba machimbo ya kokoto waliouawa na Al Shabaab mjini Mandera leo waliwapokea wapendwa wao baada ya miili yao kufikishwa ch...
  • After more than two years of tension over a territorial row,the leaders of China and Japan hold formal talks on the sidelines of a major Asian summit.
    Chinese President Xi Jinping and Japanese PM Shinzo Abe met on the sidelines of the Asia-Pacific Economic Co-operation (Apec) summit in B...
  • CCM KUTOICHUKULIA HATUA AKAUNTI YA ESCROW
    Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, alisema kuwa CCM haina mpango wa kuchukua hatua zozote dhidi ya wote waliotajwa kuh...
  • A hardline cleric in Pakistan is teaching the ideas of Osama Bin Laden in religious schools for about 5,000 children.
       Even while the Pakistani government fights the Taliban in the north-west of the country, it has no plans to clos...
  • Lorna Rutto is an entrepreneur who founded Ecopost, a Nairobi-based company that recycles plastic waste
    Lorna Rutto is an entrepreneur who founded Ecopost, a Nairobi-based company that recycles plastic waste. As part of the latest series o...
  • AJIITA KIJANA MWENYE BAHATI AKIWA KATIKATI YA WAREMBO WAWILI
  • HIVI NDIVYO Gangnam Walivyovunja rekodi huko YouTube
    Jump media player Media player help Out of media player. Press enter to return or tab to continue. Na Kim Kardashian a...

LABELS

  • Breaking News
  • condolonces
  • Entertainment
  • Entertainments
  • Habari
  • Majonzi
  • Michezo
  • News
  • News and Updates
  • Skendo
  • Sports and Games
Submit ExpressSEO Services & Tools

Total Pageviews

Copyright 2014 Mwanafalsafa
Template By Ridwan Hex And Game Gratis