Mwanafalsafa

  • HOME
Home → Habari → Polisi waliojihami wanaendelea kushika doria katika barabara za mji wa Mombasa.

Polisi waliojihami wanaendelea kushika doria katika barabara za mji wa Mombasa.

Habari
Friday, 21 November 2014

        


Polisin wakidhibiti ulinzi Mombasa
Polisi waliojihami wanaendelea kushika doria katika barabara za mji wa Mombasa Pwani ya Kenya hata baada ya maombi ya Ijumaa
Hii ni baada ya vurugu kati ya polisi hao na vijana baada ya kufanya msako katika baadi ya msikiti mjini humo.
Misikiti ambayo ilifanyiwa msako ambako inaaminika mafunzo ya itikadi kali za kidini inafanyika, ni Swafaa na Minaa.
Polisi wanadai kuwa misikiti hii hutoa mafunzo ya itikadi kali ikilenga kuwaunga mkono wapiganaji wa kiisilamu nchini Somalia Al Shabaab.

Polisi wanadai kuwa walinasa bendera hii na silaha zingine katika miskiti iliyofanyiwa msako
Vijana waliojaribu kuingia katika msikiti wa Swafaa kwa maombi ya usiku, walikabiliwa na maafisa wa usalama.
Kwa siku nne zilizopita, kumekuwa na hali ya taharuki katika mtaa wa Kisauni baada ya polisi kudfanya msako katika msikiti ya Swafaa na Minaa katika juhudi za kupambana na vijana wenye itikadi kali za kidini na magenge ya vijana wanaowahangaisha wakazi.
Polisi walinasa silaha na vifaa vya kulipua mabomu katika msako huo ulioanza Jumatatu huku zaidi ya watu 100 wakikamatwa kwa madai kuwa walikuwa wanapokea mafunzo ya itikadi kali za kidini huku wakijiandaa kujiunga na kundi la Al shabaab.
Polisi hawajawaruhusu watu kuingia katika misikiti hiyo, na polisi wanasema yeyote atakayekwenda kinyume ya hilo, atakabiliwa na tisho la kupigwa risasi.

Share this article :
Tweet
✚
Newer Post
Older Post
Home

HABARI ZILIZO BAMBA TOP 10

  • MAREKANI YAITUPIA LAWAMA KOREA KASKAZINI
    Marekani inatarajia kuirudisha Korea kaskazini katika orodha ya nchi zinazofadhili ugaidi. Rais Barack Obama wa Marekani amesema utawala ...
  • HAYA NDIO MAZITO ALIYO FUNGUKA YULE MSICHANA WA KAZI ALIYE MPIGA MTOTO
    Baada ya story ya yule msichana kwa anayefanya kazi za ndani Uganda kuchukua headlines katika vyombo mbalimbali vya Kimataifa Dun...
  • Ronaldo aosha vyombo baada ya kushindwa katika karata na mchezaji wa Tenisi Rafa Nadal
    Ali...
  • Wayne Goss, former premier of Queensland, kicked the bucket at 63
    Mr Goss, who was premier from 1989 to 1996, had suffered from ill health in recent years including brain tumours. He became Q...
  • IT 'S MATTER OF FEW MINUTES FOR WORLD CUP 2014 START SHINNING !!!!
    The World Cup  The 2014  Brazil™ is now just a matter of minutes away and to mark the occasion FIFA have launched an updated version of th...

LABELS

  • Breaking News
  • condolonces
  • Entertainment
  • Entertainments
  • Habari
  • Majonzi
  • Michezo
  • News
  • News and Updates
  • Skendo
  • Sports and Games
Submit ExpressSEO Services & Tools

Total Pageviews

Copyright 2014 Mwanafalsafa
Template By Ridwan Hex And Game Gratis