Mwanafalsafa

  • HOME
Home → Habari → Polisi waliojihami wanaendelea kushika doria katika barabara za mji wa Mombasa.

Polisi waliojihami wanaendelea kushika doria katika barabara za mji wa Mombasa.

Habari
Friday, 21 November 2014

        


Polisin wakidhibiti ulinzi Mombasa
Polisi waliojihami wanaendelea kushika doria katika barabara za mji wa Mombasa Pwani ya Kenya hata baada ya maombi ya Ijumaa
Hii ni baada ya vurugu kati ya polisi hao na vijana baada ya kufanya msako katika baadi ya msikiti mjini humo.
Misikiti ambayo ilifanyiwa msako ambako inaaminika mafunzo ya itikadi kali za kidini inafanyika, ni Swafaa na Minaa.
Polisi wanadai kuwa misikiti hii hutoa mafunzo ya itikadi kali ikilenga kuwaunga mkono wapiganaji wa kiisilamu nchini Somalia Al Shabaab.

Polisi wanadai kuwa walinasa bendera hii na silaha zingine katika miskiti iliyofanyiwa msako
Vijana waliojaribu kuingia katika msikiti wa Swafaa kwa maombi ya usiku, walikabiliwa na maafisa wa usalama.
Kwa siku nne zilizopita, kumekuwa na hali ya taharuki katika mtaa wa Kisauni baada ya polisi kudfanya msako katika msikiti ya Swafaa na Minaa katika juhudi za kupambana na vijana wenye itikadi kali za kidini na magenge ya vijana wanaowahangaisha wakazi.
Polisi walinasa silaha na vifaa vya kulipua mabomu katika msako huo ulioanza Jumatatu huku zaidi ya watu 100 wakikamatwa kwa madai kuwa walikuwa wanapokea mafunzo ya itikadi kali za kidini huku wakijiandaa kujiunga na kundi la Al shabaab.
Polisi hawajawaruhusu watu kuingia katika misikiti hiyo, na polisi wanasema yeyote atakayekwenda kinyume ya hilo, atakabiliwa na tisho la kupigwa risasi.

Share this article :
Tweet
✚
Newer Post
Older Post
Home

HABARI ZILIZO BAMBA TOP 10

  • MAREKANI YAITUPIA LAWAMA KOREA KASKAZINI
    Marekani inatarajia kuirudisha Korea kaskazini katika orodha ya nchi zinazofadhili ugaidi. Rais Barack Obama wa Marekani amesema utawala ...
  • Mombasa based singer akothee gets naughty,Angalia hapa
  • Vita dhidi ya Ukimwi zashika kasi, mbinu madhubuti zachukuliwa !
    DESEMBA mosi, kila mwaka, watu wote duniani huadhimisha Siku ya Ukimwi Duniani. Siku hiyo ilianzishwa mwaka 1987 na hubeba maudhui mbalim...
  • ,Juncker reveals giant EU investment planJuncker said Europe needed a kick-start and the Commission was offering the jump-leads
    Mr  European Commission President Jean-Claude Juncker has given details of a €315bn (£250bn;$393bn) investment plan to kic...
  • Kwaninii serikali imewekeza katika siasa na imesahau wakulima ?
      Hata hivyo, wakulima wamekwazwa na kodi nyingi wanazotozwa kwa kila gunia inapotokea wakauza sehemu ya ...
  • Mdogo wa Zari Hassan apaka matope uhusiano wake na Diamond
    Mdogo wake na Zari Hassan aka The Bosslady, aitwaye Karim ametumia Facebook kumkosoa dada yake kwa kuwa na uhusiano na Diamond Platnumz amb...
  • DAVIDO,TIWA SWAGE,DIAMOND, MR.FLAVOUR ON THE SHOOT,CHECK THE NEW VIDEO HERE
    Africa MultiChoice has launched it’s biggest  campaign yet, to celebrate Africa’s positivity , successes and the ability to  te...
  • Wayne Goss, former premier of Queensland, kicked the bucket at 63
    Mr Goss, who was premier from 1989 to 1996, had suffered from ill health in recent years including brain tumours. He became Q...
  • Third death confirmed in Mali The Pasteur Clinic in Bamako has been placed in quarantine and is under armed guard
      A nurse and the patient he was treating have become the second and third people to die from Ebola in Mali. The patient,...
  • The poorest president, Jose Mujica gets $1m offer for his VW Beetle
    7 November 2014 Last updated at 07:04 GMT Uruguay's President Jose Mujica says he has been offered $1m (£630,000) for his vinta...

LABELS

  • Breaking News
  • condolonces
  • Entertainment
  • Entertainments
  • Habari
  • Majonzi
  • Michezo
  • News
  • News and Updates
  • Skendo
  • Sports and Games
Submit ExpressSEO Services & Tools

Total Pageviews

Copyright 2014 Mwanafalsafa
Template By Ridwan Hex And Game Gratis